Utajua ujui
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 268
- 899
Za asubuhi.
Inakuaje mwanamke unakuwa busy kupekua simu ya mumeo na kuanza kusoma message kuanzia jamiiforum ,fb hadi normal text.
Wakuu niko na mwanamke ninayeishi naye sijamuoa Ila treatment anazonifanyia ninaweza nikafanya awe singo mama.
Nimemkataza kutoshika simu yangu lakini aelewi zaidi ya kugombana kila siku.
Ananuna muda wote.
Hamuwezi mkakaa mkafurahi kama wanavyofanya wanafamilia wengine.
Ana Gubu.
Inakuaje mwanamke unakuwa busy kupekua simu ya mumeo na kuanza kusoma message kuanzia jamiiforum ,fb hadi normal text.
Wakuu niko na mwanamke ninayeishi naye sijamuoa Ila treatment anazonifanyia ninaweza nikafanya awe singo mama.
Nimemkataza kutoshika simu yangu lakini aelewi zaidi ya kugombana kila siku.
Ananuna muda wote.
Hamuwezi mkakaa mkafurahi kama wanavyofanya wanafamilia wengine.
Ana Gubu.