Inahuuuuu!!

Hahaha. Yaani ukipata partner mbinafsi hivyo dawa yake unakuwa mbinafsi zaidi yake. Akaweke salary slip yake kwa wazazi wake. Ila bills zooote za nyumbani zinamhusu.

Yaani ndoa watu wanaishi kwa kuwindana kama porini.
 
Hahaha uchizi tu. Na kuna sniffing siku hizi. Sijui hacking kufanyaje kufanyaje. Yaani ndoa ni full project.

Ila.mshahara unafichwa ili kuficha matumizi yasiyoeleweka. Kama huko kwenu mtu anaeficha mshahara ku-nurse gambling, drinking ama drugs; makabwela.wako busy na.small hausi
Tell me about it.....!!

Simu siri....mshahara siri....

Yote hayo ya nini?
 
inategemea na maelewano ya ndani lakini kama mna maelewano mazuri ni busara kila mmoja ajue pato la mwenzake i.e. mshahara na mapato mengne ya pembeni kama yapo
 
Kama inahusu mke kujua mshahara wa mume, je, pia inahusu mume au mke kushika simu ya mwenzake?

Au mshahara unahusu lakini simu haihusu?

Haya mahusiano ya siku hizi ni pasua kichwa sana.

yaaani leo sijui umekula nn hamisi wangu. kila unachocomment nakipenda. lol
 
Mimi naona kujua au kutojua inategemea na aina ya mwanaume husika.... kama me ni mfujaji wa pesa basi inahusu mke kujua ili ambane ktk matumiz but kama me anajitambua, haina haja ya KE kujua mshahara wa ME, ila ni muhimu ME kujua mshahara wa KE
 
yaaani leo sijui umekula nn hamisi wangu. kila unachocomment nakipenda. lol

Hmmm....nawe wantia hofu sasa! Hii ya kupenda kila nnacho comment haijawahi tokea! Kunani?

Ngoja nsepe kabla sijaharibu.
 
haiusuuuuuuuuuuuuuu sana........ mana this new generation ina kaunafiki fulani....
 
Ni halali kaisa mke wangu kujua mshahara wangu na mimi kujua wa kwake. ila kamwe sitaruhusu mke wangu ajue vijisenti vya pembeni ninavyovipata, kama vile overtime, au allowance fulani, maana hapo ni kujiwekea kamba shingoni. Ukiruhusu ajue kila kitu wengine hata kunywa soda utatolea maelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…