Inahusu mkopo

Inahusu mkopo

Nothing like that, usikariri

Sio kweli mkuu inategemea na chuo na course unayosoma serikali inaviwango vyao kama chuo chako kina ada kubwa hata kama umeambiwa unalipiwa asilimia mia inayobakia lazina ulipe mfano hubert kairuki ada zao ni kubwa sana na serikali kozi za afya wanalipa asilimia mia ni kama 2.5M so kiasi kinachobaki unalipa mwenyewe
 
Kama chuo ada ni milion 6.2 program Doctor of Medicine wanakulipia yote? Maana nimeambia dactar analamba asilimia zote
kwa mujibu wa loan board guide for loan allocation mwaka wa masomo 2015/2016 possible ceiling amount yani asilimia mia (100%) kwa kozi za udaktari na afya ni Tsh.2,300,000/=
kwa kozi za uhandisi ni Tsh. 1,500,000/= kwa hiyo kama utapata asilimia 100 serikali itakupa kiwango hicho kwa kozi hizo. kama karo ya chuo chako itazidi kiwango cha mkopo asilimia 100. itabidi ujiongezee kutoka katika vyanzo vyako.
why wa set hiyo amount. kwa sababu wanatumia tution fees za public university kama reference yao kuwaongoza katika viwango. vyuo vyote vya serikali hakuna kinacho toza fees iliyo juu ya 1.5m kwa kozi za uhandisi na hakuna kinacho toza zaidi ya 2.3m kwa masomo ya udaktari
 
Kama chuo ada ni milion 6.2 program Doctor of Medicine wanakulipia yote? Maana nimeambia dactar analamba asilimia zote


Mkuu,hawakupi yote,hiyo nyingine utaongezea.Wao wanakupa possible loanable amount..Kama ada yeni ni milioni 6.2 na possible loanable amount ni 2.6 basi hiyo difference utalipa mwenyewe

Hii pesa haupewi mkononi,inapita juu kwa juu.Wewe utakachoshika ni boom(M$A),Special faculty requirements na books and stationers money
 
we unawaza mkopo kabla hujajua kama utapata?!! au unataka kuweka na bajeti ya viroba.

Dah Umenikumbusha Maisha Ya Chuo.Ilikua Bumu Likitoka Yale Masalia Ya Nyuma Naenda Town Nayanywa Na Hasa Bumu Liwe Limetoka Kipindi Hakuna Test Ndo Chuo Kinafunguliwa.I Will Always Miss The University Life Ha Ha Haa Haa
 
Sio kweli,

Ukipata asilimia mia utalipiwa ada yote only kama ada yako inalingana na scale ya serikali ya asilimia mia.Ndio maana wanafunzi wanaoenda kusomea udaktari pale St Joseph mpya wengi wao(wote) watapewa asilimia mia lakini wote lazima waongezee fedha maana ada ya chuo chao ni kubwa kuliko possible loanable amount

huo ndo ukweli
 
bado wengine wanafurahia kuchaguliwaila loan body wakitema mtaiona tz chungucha msingi mpigie el kura yako na shawishimzazi ili chuo msome bure otherwise kuna watakao enda na watakao baki nyumbani aminini nawaambia inauma sanaaa muulize yeyote ilo mtokea.Elimu NI hali ya kila mtu ila kwa tz hususanngaziza juu NI kulazimishianaa maana wapo watu wamekwepa kuomba koz muhimu kwa sababu ya mkopo.na bado sikuiz zile za priority kozi nazo NI probability,unaweza pewa ada lakin ukapata laki1 ama wengine wanapewa mpaka2000 mwisho wa siku boom lote unalipia ada kama Mimi na engineering yangu,pia unaweza kufata mkopo kwa koz fulan lakin ukakosahamu ya kusoma kwa kozi hyooonamwisho unadisco ama kuacha kusoma kabsa hivyo muhimu sana kufanya maamuzi sahihi ndani ya sanduku la kura.CHAGUA LOWASA USOME BURE

yan we ka unajua umechaguliwa koz non priolity alafu unawaza utapata mkopo xahau kabxa mana labda uwe na fogie vyet vya kfo utaula vngnevo utaxota xna chuo wakat wenzak wakchukua bk 85
 
inategemeana na possible loan ya coz husika eg ukichaguliwa engineering coz max loan yao n 1500000 na ndio asilimia mia so kama ada ya chuo ikizid apo nyingine utaongeza mwenyewe .........................
 
Sio kweli,

Ukipata asilimia mia utalipiwa ada yote only kama ada yako inalingana na scale ya serikali ya asilimia mia.Ndio maana wanafunzi wanaoenda kusomea udaktari pale St Joseph mpya wengi wao(wote) watapewa asilimia mia lakini wote lazima waongezee fedha maana ada ya chuo chao ni kubwa kuliko possible loanable amount

Ahaaaa nimekuelewaaa mkuuuu
 
samahan wakuu nimechaguliwa coz ambayo ni non priorty UDOM (BED-AME) Sina mzazi mmoja na mwingine ni mlemavu hivi mkopo nitapata kweli???
 
kwa mujibu wa loan board guide for loan allocation mwaka wa masomo 2015/2016 possible ceiling amount yani asilimia mia (100%) kwa kozi za udaktari na afya ni Tsh.2,300,000/=
kwa kozi za uhandisi ni Tsh. 1,500,000/= kwa hiyo kama utapata asilimia 100 serikali itakupa kiwango hicho kwa kozi hizo. kama karo ya chuo chako itazidi kiwango cha mkopo asilimia 100. itabidi ujiongezee kutoka katika vyanzo vyako.
why wa set hiyo amount. kwa sababu wanatumia tution fees za public university kama reference yao kuwaongoza katika viwango. vyuo vyote vya serikali hakuna kinacho toza fees iliyo juu ya 1.5m kwa kozi za uhandisi na hakuna kinacho toza zaidi ya 2.3m kwa masomo ya udaktari

Kwa mwaka 2014/2015 kwa koz ya udaktar walipewa 3.1M kama tution fee sasa iyo 2.3M uliosema ndio ya mwaka 2015/2016 au
 
Back
Top Bottom