Inahitajika verosa au brevis 3m ipo

Inahitajika verosa au brevis 3m ipo

niko nabargain hapa na naichukua moja wapo soon
Ninyi madogo wa jf mnajiona mnajua kila kituView attachment 1831462View attachment 1831463
mtu hata milion hujawahi iona kwa macho unakuja coment pumba
Hizi ni misambwanda ya bibi yako au? na ninanua sasaView attachment 1831453View attachment 1831454
Hamna gari humo usitutishe..amini hizo gari ukinunua leo mpk mwaka unaisha litakubumia zaidi ya mara 40

Utasumbua sana watu na ma-triangle barabarani,utaliburuza sana na ma-breakdown utatumia mpk m3 service kabla mwaka hujaisha +3m ya kununulia sawa m6 toa mafuta just ndani huu mwaka tu,ukisema uishi nalo mpk mwisho wa 2022 gharama zake sisemi kitakachofata utatafuta mtu umuuzie milion 2-1.5,tafuta hela ununue gari acheni miteremko coz miteremko ina cost zaidi.

Nishawahi nunua gari milioni 3 baada ya mwaka na nusu nikauza kama skrepa sikupi gharama zilizonikumba kama huduma ya gari hilo la bei rahisi Na ukitaka shida kubwa kwa mswahili we mwambie ukweli ila ukweli ndo huo,for your good
 
Hamna gari humo usitutishe..amini hizo gari ukinunua leo mpk mwaka unaisha litakubumia zaidi ya mara 40

Utasumbua sana watu na ma-triangle barabarani,utaliburuza sana na ma-breakdown utatumia mpk m3 service kabla mwaka hujaisha +3m ya kununulia sawa m6 toa mafuta just ndani huu mwaka tu,ukisema uishi nalo mpk mwisho wa 2022 gharama zake sisemi kitakachofata utatafuta mtu umuuzie milion 2-1.5,tafuta hela ununue gari acheni miteremko coz miteremko ina cost zaidi.

Nishawahi nunua gari milioni 3 baada ya mwaka na nusu nikauza kama skrepa sikupi gharama zilizonikumba kama huduma ya gari hilo la bei rahisi Na ukitaka shida kubwa kwa mswahili we mwambie ukweli ila ukweli ndo huo,for your good
mkuu umeandika ukweli mtupu

sio kupinga kwamba kwa pesa hio siwezi pata gari
 
tembelea mitandao mingine inasites za matangazo ya magari tena kwa bei poa
jf hovyo kwa sababu ya nyie madogo mnatunzwa na waume wa dada zenu

Fala sana we jamaa, huji nikuta nahangaika na magari ya bongo. Gari na import from Japan. Tafuta hela unaonekana una hela za mawazo bado
 
Hahahaha hata ya 2M ipo mkuu ila atakuja kulia mtu machozi ya damu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom