gen parton
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 642
- 410
Wadau mwenye tractor la aina hiyo au lolote na jembe liwe linaoperate ofa M15 au aneyeza nisaidia kuagiza kwa ofa hiyo
Wadau mwenye tractor la aina hiyo au lolote na jembe liwe linaoperate ofa M15 au aneyeza nisaidia kuagiza kwa ofa hiyo
kaka kwenye business lugha sio muhimu sana cha msingi maelewano ndio maana wachina tunafanyanao busuness japo hwajui swahilihuyu bwana mwanzoni hata
mimi sikumsoma kabisa,spelling ni kitu muhimu,anamaanisha tractor ya
brand ya farmtrac na hata kwa bei hiyo hapati