Inahitajika Mashine ya Kufulia Nguo

Inahitajika Mashine ya Kufulia Nguo

Tarrus

Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
42
Reaction score
38
Habari wanabodi,mwenye mashine ya kisasa used au brand new ya kufua na kukausha nguo at the same time(two in one) yaani washing and drying machine kwaajili ya biashara naomba tuwasiliane ila iwe na sifa hizi:
*Front loader machine
*Capasity 10kg
*Eco friendly
Note:
Kama ni used naomba iwe katika hali nzuri (in good condition)
Tuwasiliane PM Or 0629092932
 
Nnazo nauza 360,000 used toka Denmark ...naweza kuelekeza sehemu ninapopatikana na ukaja kuziona

Ova
 
jamani mashine za kufulia nguo zimejaa kwenye maduka ya electronics kila wanapouza fridge na mashine za kufua zipo.It is not a rocket science. Halafu ningeshauri tuwe na culture ya kufanya window shopping ili ujue technolojia imefika wapi tuendane na wakati
 
jamani mashine za kufulia nguo zimejaa kwenye maduka ya electronics kila wanapouza fridge na mashine za kufua zipo.It is not a rocket science. Halafu ningeshauri tuwe na culture ya kufanya window shopping ili ujue technolojia imefika wapi tuendane na wakati
Asante kwa ushauri wako mkuu ila wengine tupo Mbwinde hakuna hayo maduka ya kufanyia window shoping that's why tunakuja humu jamvini
 
wadau ninayo mpya kabisa..ntatuma picha na ntauza kwa laki 450..brand new
 
Habari wanabodi,mwenye mashine ya kisasa used au brand new ya kufua na kukausha nguo at the same time(two in one) yaani washing and drying machine kwaajili ya biashara naomba tuwasiliane ila iwe na sifa hizi:
*Front loader machine
*Capasity 10kg
*Eco friendly
Note:
Kama ni used naomba iwe katika hali nzuri (in good condition)
Tuwasiliane PM Or 0629092932
Mimi ninavyojua kuna washing machine inafua tu, na tumble dryer inakausha. Yaani ukishafua unaweka kwenye dryer zinakaushwa.

Kwa wakazi wa sehemu kama Dar wala huhitaji dryer jua linatosha na washing machine zinakamua maji vizuri.
 
Me najua inafua na kukamua, kumbe zipo ninazokausha!!!

Au ni lugha gongana?
 
Habari wanabodi,mwenye mashine ya kisasa used au brand new ya kufua na kukausha nguo at the same time(two in one) yaani washing and drying machine kwaajili ya biashara naomba tuwasiliane ila iwe na sifa hizi:
*Front loader machine
*Capasity 10kg
*Eco friendly
Note:
Kama ni used naomba iwe katika hali nzuri (in good condition)
Tuwasiliane PM Or 0629092932
Nakushauri usinunue mashine used!! Utalia na umeme. Tafuta mpya ambazo zimetengenezwa kwa kuzingatia mazingira ya sasa!!
 
Nnazo nauza 360,000 used toka Denmark ...naweza kuelekeza sehemu ninapopatikana na ukaja kuziona

Ova
Kiongozi #mrangi# hebu weka mawasiliano yako hapa ili kila anayehitaji akupigie,ikiwezekana utuwekee na picha ya hiyo mashine,pls
 
1478895104813.jpg
1478895119726.jpg
1478895132716.jpg
 
Nnazo nauza 360,000 used toka Denmark ...naweza kuelekeza sehemu ninapopatikana na ukaja kuziona

Ova
nahitaji ya kukausha peke yake nipe bei kama unayo na picha unaweza nitumia whatsapp 0714890018
 
Back
Top Bottom