kwani wewe hutombw.i??si ajabu hata tigo unaliwaVijana wanazidi kuhalalisha uzinzi tu!.... inasikitisha sana...
in bashite voiceVita dhidi ya wake za watu haijawahi kuyaacha marinda salama.
Huu usemi unakuhusuHabari wana bodi,
Nimara chache sana kwangu kuja kutupia kathread humu,huwa nakuja mara baada yakuona yamenifika hapaaaa!
Bila kupoteza muda nikwamba,nilitokea kuanzisha mahusiano na dem flan hivi ambae tunaishi Nyumba moja,yy anaishi na basha wake(Bodaboda)hawajaoana.
Mwanzoni nilichukulia poa coz nilijiona mjanja mimi kwakumega tunda la jamaa
Kipindi hicho mpaka leo bado nipo single.
Nikaona nimepata sehem yakujipozea tu kwamuda.
Kumbe dem kitandan yupo vzr sn,pia ananihudumia kama mumewe mpaka nikajikuta nanogewa bhana,mara nyingi jamaa yake huwa anakesha ucku na mimi huwa ndo napumzika mara baada ya mihangaiko.So huwa najinafasi.
Wakuu nimenogewa na utam wa huyu dem coz amekamilika haswaa.
Sasa kimbembe ni pale ninapokuwa nae magetoni ghafla jamaa anarudi,kiufupi huwa najisikia vibaya sana(Wivu,).
Sasa nimekuwa nanunanuna tu bila mpango utasema me ndo naibiwa.Yaan nikisikia wapo kimya room kwao basi me huku roho juu dah.Nateseka.Hivi nafikiria kutafuta dem wangu ili nimpige chini.
Kama hujawahi jaribu kuwa na mahusiano kama haya basi kabla hujaingia jipime kwanza kama una moyo.
Kama ni mwenzangu namimi USIJARIBU.Sorry kwa Uzi mrefu .
Lakini tambua apandacho mtu ndicho avunacho! mshaahara wa dhambi ni mauti.
sasa kwanini unalipa ubaya kwa ubaya. Misemo hii ipo tu hata kwenye kanga ukiifuata itakupotosha kama ni kweli unafanya hicho ulicho kileta thenNi kweli MKUU lakini kuna msemo unaosemwa kuwa mwanaume ukimegewa na tafuta mnyonge ummegee..Hata me nilmemegewa
Vita ya urais haijawahi kumuacha Lowassa salamaVita dhidi ya wake za watu haijawahi kuyaacha marinda salama.
Habari wana bodi,
Nimara chache sana kwangu kuja kutupia kathread humu,huwa nakuja mara baada yakuona yamenifika hapaaaa!
Bila kupoteza muda nikwamba,nilitokea kuanzisha mahusiano na dem flan hivi ambae tunaishi Nyumba moja,yy anaishi na basha wake(Bodaboda)hawajaoana.
Mwanzoni nilichukulia poa coz nilijiona mjanja mimi kwakumega tunda la jamaa
Kipindi hicho mpaka leo bado nipo single.
Nikaona nimepata sehem yakujipozea tu kwamuda.
Kumbe dem kitandan yupo vzr sn,pia ananihudumia kama mumewe mpaka nikajikuta nanogewa bhana,mara nyingi jamaa yake huwa anakesha ucku na mimi huwa ndo napumzika mara baada ya mihangaiko.So huwa najinafasi.
Wakuu nimenogewa na utam wa huyu dem coz amekamilika haswaa.
Sasa kimbembe ni pale ninapokuwa nae magetoni ghafla jamaa anarudi,kiufupi huwa najisikia vibaya sana(Wivu,).
Sasa nimekuwa nanunanuna tu bila mpango utasema me ndo naibiwa.Yaan nikisikia wapo kimya room kwao basi me huku roho juu dah.Nateseka.Hivi nafikiria kutafuta dem wangu ili nimpige chini.
Kama hujawahi jaribu kuwa na mahusiano kama haya basi kabla hujaingia jipime kwanza kama una moyo.
Kama ni mwenzangu namimi USIJARIBU.Sorry kwa Uzi mrefu .
Vita ya urais haijawahi kumuacha Lowassa salama