Sky is ya limit bro/sisyNaomba kuuliza eti inafaa kubadili kada ikiwa umeshaajiriwa mfano kutoka elimu kwenda afya yan umeajiriwa kama mwalimu badae ukaamua kwenda kusomea udaktar inafaa
Nn?Sky is ya limit bro/sisy
We ni mwalimu unataka kuwa daktari etc.?
Inawezekana , ukisoma na kumaliza chuo kusomea hiyo kozi nyingine tofauti na ya awali , unaandika barua kisha utafanyiwa RecategoriezationNaomba kuuliza eti inafaa kubadili kada ikiwa umeshaajiriwa mfano kutoka elimu kwenda afya yan umeajiriwa kama mwalimu badae ukaamua kwenda kusomea udaktar inafaa
NdyoWe ni mwalimu unataka kuwa daktari etc.?
AsanteKwa sasa haiwezekani. Mfumo unakutema,
AsanteInawezekana , ukisoma na kumaliza chuo kusomea hiyo kozi nyingine tofauti na ya awali , unaandika barua kisha utafanyiwa Recategoriezation
Tafadhali tufafanulie zaidiKwa sasa haiwezekani. Mfumo unakutema,
Inafaa,lkn yabidi iwe imetoka ndani yako we mwenyewe, yaani imetoka moyoni,isiwe kwa kushawishiwa toka nje yako au kwasababu fulani kafanya,utaangukia pua.Naomba kuuliza eti inafaa kubadili kada ikiwa umeshaajiriwa mfano kutoka elimu kwenda afya yan umeajiriwa kama mwalimu badae ukaamua kwenda kusomea udaktar inafaa