GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,648
- 10,844
Kabla ya kuachia Uwenyekiti wa Chama chake, ilikuwa siyo rahisi siku ipite bila kutupiwa dongo!
1. Mara Mwenyekiti wa maisha...
2. Mara CHADEMA ni SACCOS yake...
3. Mara CHADEMA ni Chama cha Wachaga...
4. ...n.k.
Baada ya kuuachia Uwenyekiti, kibao kimegeuka. Mashambulizi yaliyokuwa yanaelekezwa kwake sasa yamelekezwa kwa mrithi wake!
Kwa hiyo hata Lissu asingepewa kesi ya uhaini, pengine, kama asingekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA!
1. Mara Mwenyekiti wa maisha...
2. Mara CHADEMA ni SACCOS yake...
3. Mara CHADEMA ni Chama cha Wachaga...
4. ...n.k.
Baada ya kuuachia Uwenyekiti, kibao kimegeuka. Mashambulizi yaliyokuwa yanaelekezwa kwake sasa yamelekezwa kwa mrithi wake!
Kwa hiyo hata Lissu asingepewa kesi ya uhaini, pengine, kama asingekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA!