Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Bahati mbaya sana hakukua na Tuzo ya "Mpanda Mipira Bora"Hii TFF ni ya Simba kabisa... tuzo 5 zote zimeenda kwao. Ina maana sisi hatukucheza hii ligi? Hii ni Hujuma. Hata wale wachezaji ambao tulionesha tunawata au kuwasajili wamenyimwa.
Hili jambo Viongozi wa Yanga watajadiliana ili twende kushtaki.hii siyo haki. Mnadumaza mpira wa Tz. Huu ni upendeleo wa wazi kabisa.
Tifutifu mikia aka kalia tako moko ndo inatawala soka.
F1 tu bado sijafika 2.Leo hujaenda shule ni nane nane? Au bado nyie form two mnatakiwa muende kujisomea?
F1 tu bado sijafika 2.
TFF ya Karia ina management mbovu sana, wewe cheki tu swala la Morrison, ndani ya siku 3 lingetakiwa limepatiwa solution, cha ajabu linatengenezewa mazingira ya rushwa na mihemko ya usimba na uyanga.Hii TFF ni ya Simba kabisa... tuzo 5 zote zimeenda kwao. Ina maana sisi hatukucheza hii ligi? Hii ni Hujuma. Hata wale wachezaji ambao tulionesha tunawata au kuwasajili wamenyimwa.
Hili jambo Viongozi wa Yanga watajadiliana ili twende kushtaki.hii siyo haki. Mnadumaza mpira wa Tz. Huu ni upendeleo wa wazi kabisa.
Yupo Chimala.Ok. Safi sana. Jitahidi upige kitabu na ufanye vizuri dogo. Yule sister ako Bupe bado hajaolewa? Yupo wapi siku hizi? Na Subira je?
Yuko Kwetu nowMorison wenu veep tena utopolo