Ina maana Sisi Yanga Hatupati kitu? 😳😳😳 Tutasonga mbele

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,265
23,029
Hii TFF ni ya Simba kabisa... tuzo 5 zote zimeenda kwao. Ina maana sisi hatukucheza hii ligi? Hii ni Hujuma. Hata wale wachezaji ambao tulionesha tunawata au kuwasajili wamenyimwa.

Hili jambo Viongozi wa Yanga watajadiliana ili twende kushtaki.hii siyo haki. Mnadumaza mpira wa Tz. Huu ni upendeleo wa wazi kabisa.
 
Hii TFF ni ya Simba kabisa... tuzo 5 zote zimeenda kwao. Ina maana sisi hatukucheza hii ligi? Hii ni Hujuma. Hata wale wachezaji ambao tulionesha tunawata au kuwasajili wamenyimwa.

Hili jambo Viongozi wa Yanga watajadiliana ili twende kushtaki.hii siyo haki. Mnadumaza mpira wa Tz. Huu ni upendeleo wa wazi kabisa.
Bahati mbaya sana hakukua na Tuzo ya "Mpanda Mipira Bora"
 
Hii TFF ni ya Simba kabisa... tuzo 5 zote zimeenda kwao. Ina maana sisi hatukucheza hii ligi? Hii ni Hujuma. Hata wale wachezaji ambao tulionesha tunawata au kuwasajili wamenyimwa.

Hili jambo Viongozi wa Yanga watajadiliana ili twende kushtaki.hii siyo haki. Mnadumaza mpira wa Tz. Huu ni upendeleo wa wazi kabisa.
TFF ya Karia ina management mbovu sana, wewe cheki tu swala la Morrison, ndani ya siku 3 lingetakiwa limepatiwa solution, cha ajabu linatengenezewa mazingira ya rushwa na mihemko ya usimba na uyanga.
Ndiyo maana mpira wetu hauendelei, kila mwaka tupo 130+.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom