In loving Memory of my Mama

Pole sana

Love and peace
 
Yeah nimeshapata hio hali! Dah
Ukishapata msiba wa mzazi/wazazi au hata ndugu wa kuzaliwa pamoja...

Kuna likitu fulani linaingia moyoni kiasi kwamba ukisikia msiba kwa watu wengine, unaona kama kitu cha kawaida sana...

Pole mkuu...!!!


Sent using Jamii Forums mobile app

You are strong than what you think...
 
Kaka hii stori yako japo kwa ufupi ila imenitoa chozi kwakweli.Pole sna mkuu kwa maswahibu uliyopitia wakati unakua

Love and peace
 
Duh Umeniumiza Sana Ndugu! Pole Sana ndugu
You are strong than what you think...
 
Pole sana mkuu,comment yako imenisikitisha mno nimejikuta nampigia simu mom nakumwambia "Nampenda sana".
 
Pole sana mkuu,comment yako imenisikitisha mno nimejikuta nampigia simu mom nakumwambia "Nampenda sana".
Endelea kufanya hivyo before it's too late! Mimi Pasaka Kama hii angekua ameshapiga simu "Elli mwanangu nakusubiri Pasaka, uje na Wajukuu zangu"

You are strong than what you think...
 
Endelea kufanya hivyo before it's too late! Mimi Pasaka Kama hii angekua ameshapiga simu "Elli mwanangu nakusubiri Pasaka, uje na Wajukuu zangu"

You are strong than what you think...
Mkuu we acha tu 😥😥Upendo alikuwa nao Mama yangu kwangu naomba isitokee siku ya kututenganisha.
 
Nipo home peke yangu then nina magumu yananikabili naishia kusiliza gospel music huku chozi linanitoka coz sina mfariji(mpweke).I wish MAMA Angekuwepo lakini ndio she is no more with me.
Kama MOM Angekuwepo najua spirit yangu ingekua high kwa ushauri wake na tungeumia pamoja na tungelia pamoja lakini ndio hayupo hayupo hayupo tena.Namshukuru MUNGU Kunipa katoto kangu ka miaka mitatu nikimuangalia na nikifikiria future yake huwa napata nguvu.
REST IN PEACE MOM AND I'LL MOURN TILL I MEET U AGAIN.
 
Pole sana Jodeo nitakutafuta

Jr[emoji769]
 
polee,watoto wamekuwa ni faraja sana kwa wazazi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…