In case uchumba unavunjika


Ndiyo kuna vitu vingine ushamba bwana. Yaani tuachane alafu uje udai pete, nakupa tu kama unaona pete dili. kwani unafikiri ukiniachia nitaivaa? Hata mimi sipendezewi kuvaa pete ya mchumba ambaye tumeachana.
 
Ndiyo kuna vitu vingine ushamba bwana. Yaani tuachane alafu uje udai pete, nakupa tu kama unaona pete dili. kwani unafikiri ukiniachia nitaivaa? Hata mimi sipendezewi kuvaa pete ya mchumba ambaye tumeachana.
Kumbe wajua eeeeh! Pete sio chupi besti...sio gauni...ni ishara ya upendo..penzi likiisha hutakiwi kukaa nayo...!
 
Kumbe wajua eeeeh! Pete sio chupi besti...sio gauni...ni ishara ya upendo..penzi likiisha hutakiwi kukaa nayo...!

Haya ukishaichukua unaipeleka wapi kama sio uhuni huo, ulikuwa unatudabolisha wewe.
 
Uhuni tena!!! naona hujaelewa somo we mtoto...!

Nasemea uhuni yaani maana yangu ni kwamba unaipeleka wapi hiyo pete baada ya kuichukua kutoka kwangu wakati mlengwa alikuwa ni mimi? Haya kama mimi mtoto ila naweza kuwa mkubwa wako.
 
Nasemea uhuni yaani maana yangu ni kwamba unaipeleka wapi hiyo pete baada ya kuichukua kutoka kwangu wakati mlengwa alikuwa ni mimi? Haya kama mimi mtoto ila naweza kuwa mkubwa wako.
Nikiichukua naaweza kuiuza au kuiweka kama kumbukumbu ya machungu ya mchumba wangu kuliwa...!
..kuwa mkubwa yawezekana lakini kwa umri wangu huwezi kufika..!..teeh
 
Nikiichukua naaweza kuiuza au kuiweka kama kumbukumbu ya machungu ya mchumba wangu kuliwa...!
..kuwa mkubwa yawezekana lakini kwa umri wangu huwezi kufika..!..teeh

Eli79. Kwahiyo unamachungu na mpenzi wako kuliwa siyo. Ndio machungu unayatoa katika kuchukua pete. Hata machungu hayatoki bali yanaongezeka hapo. Mie mkubwa bwana. Haya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Eli79. Kwahiyo unamachungu na mpenzi wako kuliwa siyo. Ndio machungu unayatoa katika kuchukua pete. Hata machungu hayatoki bali yanaongezeka hapo. Mie mkubwa bwana. Haya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Gololi One...wangu hajawahi kuliwa nikajua, na hata akiliwa sitaki kujua coz naweza kumfanya kitu kibaya..!
Una ukubwa gani wewe....! hem sema
 
Last edited by a moderator:
Inakuwa kistaarabu kama mliachana kistaarabu, otherwise hakuna ustaarabu kwenye kuachana...!
Kama ulichiti naichukua tu...uende akakupe huyo uliyemchanulia huko..aaah!

Mwanaume anaejielewa hawezi kuja kuninyang'anya, kwanza ukija kuichukua ndo ntathibitisha hukua chaguo sahihi kwangu, labda ukija kuichukua unadhani utakua umepunguza nini? Tena waenda mpa mchumba wako mpya looh hii ni kaliii,mie nikiwa mchumba mpya nikajua navishwa pete ya ex wako siwezi kukubali,

U hali gani mshenga?
 

Kama ulichanua kwa mwingine ulitegemea nini? Usitegemee kutendewa mema kama mwenyewe unatenda maovu. Ikiwa tuneachana kwa sababu ya wazazi kwa mfano, nitakuachia coz I still love you na tatizo ni wazazi, lakini kama ni kwa ujinga wako...don't expect any favors...!

Mshenga naona umenitupa kisa wale jamaa zetu. Haya bwana..!
 
hivi uchumba ukivunjika Pete inakuaga BIG deal kihivyo!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…