Mama embu nipe faida zake na hasara
Nimecheka sanaDuuu...hivi EL naye anatumia hizi vitu? Mbona kama hana bahati kiongozi yule?
Duh nawewe unayo? Uliipata wspi na kwsnini uliamua kuitafuta?Hapana mkuu, kila mtu ana kito cha rangi yake kutegemeana na nyota yake... mfano mimi ni kito chekundu
Hahaha maudhi ya smart phones haya.ukizubaa utajikuta umeandika tusi. Simu hizi!!!Mkuu leo kuna mtu ka-hack account yako nini??? ....angalia kqa=kwa
Duh nawewe unayo? Uliipata wspi na kwsnini uliamua kuitafuta?
Hapana kwakweli. Mimi naamini Pete yangu ya bahati ni maombi tu. Ila nimependa kujua uliiapata wapi na kwanini uliamua kuwa Nayo na he ukiivua inakuajeKwani nawewe unaitaka??
Hapana kwakweli. Mimi naamini Pete yangu ya bahati ni maombi tu. Ila nimependa kujua uliiapata wapi na kwanini uliamua kuwa Nayo na he ukiivua inakuaje
Hahaha haya thanx.Basi wewe shikilia maombi mambo ya kutaka kujua pete achana nayo mpendwa
Navyofahamu pete hii inaweza kukusaidia katika masuala ya biashara, mali, utajiri, ndoa, kazi, mahusiano, uongozi, kujikinga na wachawi, ulinzi (Kujikinga na wizi & majambazi ) nakadhalika.
Hasara ya pete ya aina hizo ni nn samsungNi pete ambazo ameifadhiwa JINI wa mafanikio ( na kweli mafanikio utayaona) ila kwa akili za wengi wamepotezwa kwa kuaminishwa kuwa hio ni pete ya bahati ila si kweli ( japo zipo pete za bahati lakini nguvu yake si kubwa na si ya haraka )
Sawa mama, hizo ni faida. Napenda nifaham pia na hasara zakeNavyofahamu pete hii inaweza kukusaidia katika masuala ya biashara, mali, utajiri, ndoa, kazi, mahusiano, uongozi, kujikinga na wachawi, ulinzi (Kujikinga na wizi & majambazi ) nakadhalika.
Kwa zile zenye JINI utapewa tu masharti yake ( japo anayekupa hatokuambia kama hiyo ni ya jini na matokeo yake yapo haraka sana mara nyingi masharti yake ni kutoa makafara itategemea anayekupa anakupa jini wa vipi ) ila zile za bahati zenyewe hazina masharti zaidi ya kupewa rangi ya bahati yako kutegemea na nyota yako.Hasara ya pete ya aina hizo ni nn samsung
Kweli kabisaMkuu Moral H ni vigumu sana kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu kama Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Unajua namna ya kuzipata hizo pete especialy hio ya immo ringKwa zile zenye JINI utapewa tu masharti yake ( japo anayekupa hatokuambia kama hiyo ni ya jini na matokeo yake yapo haraka sana mara nyingi masharti yake ni kutoa makafara itategemea anayekupa anakupa jini wa vipi ) ila zile za bahati zenyewe hazina masharti zaidi ya kupewa rangi ya bahati yako kutegemea na nyota yako.
Zaidi ni kwa Mnajimu watu wa mambo ya nyota,kama ilivyokuwa kwa Sheikh Yahya.Unajua namna ya kuzipata hizo pete especialy hio ya immo ring
Yan kweli watu wsnatafuta bahati na mvuto. Ni kitu kibaya sana mana wengine wanadhuru watu wengine kwa sababu hiyo. Wapo ambao huenda kqa waganga ili kupata bahati wanapewa hizo pete hasa kutoka kqa waganga wanaotumia majini. Halafu wapo ambao wakikuhisi wewe una bahati wanakuendea kwa mganga ili bahati uliyonayo àambayo umezaliwa nayo waipate wao. Hii wanaita nyota kwahiyo unakuta mtu anakwenda kqa mganga ili unyang'anywe nyota yako apewe yeye. Usiombe uwe na bahati mbaya ya mtu kukuendea kwa mganga ili achukue nyota yako omba mungu isitokee maana nyota yako ikichukuliwa utateseka maisha yako yote kama hukustukia na kujikita kqa mungu. Kimsingi wanapochukua nyota wanakuacha na mikosi ya ajabu. Wanapochukua nyota yako mara nyingi huchukua na nafsi yako so wewe unabaki kuwa sio yule ambaye watu walikufahamu. Haya mambo yapo na Ni magumu unatakiwa kugundua kuwa kuna kitu umefanyiwa ili uanze kuhangaika kqa mungu urudi kama kawaida ila usipostukia basi ndo imetoka. Kuna watu wengi sana wanafanikisha mambo yao kwa kutumia nyota za watu wengine huku hao walionyanganywa nyota wakibaki katika mahangaiko makubwa. Kwakweli inaudhi sana. Mimi yamenikuta Haya mambo na yamenitesa sana. Nimejionea mwenyewe na kuna mtu alichukua nyota yangu nikaja kugundua. Mambo yake yalibadilika ghafla na mimi nikabaki na mikosi ya ajabu.huwa sitaki hata kumuona. Na akiniona ananiogopa vibaya sana. Hawa watu hawataweza kuja kuuona ufalme wa mungu hata siku moja. Biblia imeandika hivyo. Ole wao wanaosababisha mateso kqa watu wengine.
Zinapatikana wapi na being ganiWaulize wsfuatao wanazivaa: Ali kiba, diamond, lowassa, etc