Immo ring (Pete ya bahati)

Mama embu nipe faida zake na hasara


Navyofahamu pete hii inaweza kukusaidia katika masuala ya biashara, mali, utajiri, ndoa, kazi, mahusiano, uongozi, kujikinga na wachawi, ulinzi (Kujikinga na wizi & majambazi ) nakadhalika.
 
Ni pete ambazo ameifadhiwa JINI wa mafanikio ( na kweli mafanikio utayaona) ila kwa akili za wengi wamepotezwa kwa kuaminishwa kuwa hio ni pete ya bahati ila si kweli ( japo zipo pete za bahati lakini nguvu yake si kubwa na si ya haraka )
 
Navyofahamu pete hii inaweza kukusaidia katika masuala ya biashara, mali, utajiri, ndoa, kazi, mahusiano, uongozi, kujikinga na wachawi, ulinzi (Kujikinga na wizi & majambazi ) nakadhalika.

Mi naitaka nitaipataje
 
Ni pete ambazo ameifadhiwa JINI wa mafanikio ( na kweli mafanikio utayaona) ila kwa akili za wengi wamepotezwa kwa kuaminishwa kuwa hio ni pete ya bahati ila si kweli ( japo zipo pete za bahati lakini nguvu yake si kubwa na si ya haraka )
Hasara ya pete ya aina hizo ni nn samsung
 
Navyofahamu pete hii inaweza kukusaidia katika masuala ya biashara, mali, utajiri, ndoa, kazi, mahusiano, uongozi, kujikinga na wachawi, ulinzi (Kujikinga na wizi & majambazi ) nakadhalika.
Sawa mama, hizo ni faida. Napenda nifaham pia na hasara zake
 
Hasara ya pete ya aina hizo ni nn samsung
Kwa zile zenye JINI utapewa tu masharti yake ( japo anayekupa hatokuambia kama hiyo ni ya jini na matokeo yake yapo haraka sana mara nyingi masharti yake ni kutoa makafara itategemea anayekupa anakupa jini wa vipi ) ila zile za bahati zenyewe hazina masharti zaidi ya kupewa rangi ya bahati yako kutegemea na nyota yako.
 
Unajua namna ya kuzipata hizo pete especialy hio ya immo ring
 

Ayubu 42;12 Naye MWENYE ENZI MUNGU akaubariki mwisho wa Ayubu kuliko mwanzo wake.....
usimchukie huyo mtu au watu walio kufanyia hivyo, kwani watavuna walicho kipanda....riziki yako kutoka kwa MWENYE ENZI MUNGU hakuna binadamu au kiumbe yeyote anayeweza kuichukua milele! waliichukuwa kwa muda tu sasa imesharudi tena kwako....trust me my friend and remain blessed!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…