Freightliner
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 720
- 522
hawa watu kiukweli wana kero mwanzoni wakasema ili upate emergency travel document peleka nyaraka zote zifanyie scanning ili ukihitaji tena usisumbuke zitakuwa mtaandaoni lakini cha ajabu sasa hivi wanakwambia ukikata hii travel document kwa mara tano lazima uanze tena upya kuleta cheti cha kuzaliwa,sijui afisa mtendaji sasa maana yake nini...mbona mnakera sana