So what?
Why Angola?
Kwa hiyo kipimo cha Kukua uchumi wa Kenya ni Angola na Ethiopia?
Yote kwa yote, hiyo taarifa iko very irrellevant na uhalisia wa uchumi wa Kenya kwa sasa. Wakenya wako kwenye kina kirefu zaidi cha tope la umaskini na Serikali ya Kenya ndio imezama kabisa kwenye umaskini kiasi cha kushindwa kulipa hata mishahara.