IMF Joins World Bank in Querying Tanzania's New Statistics Law

Watz sijui tuko na inferiority thinking, can't you even imaging there authorities c_ ar taking duty to endorse those laws, everything is Misconducting presidential authority.
Why not abusing the Parliament we phase out during electional time? Ifike hatua tuwe tunapoint moja kwa moja mamlaka husika zilitunga hizo sheria , hata hao IMF kwann wasilikosoe Bunge letu na wanakimbilia kuikosoa serikali? Hawajui ya kuwa bunge ndo chombo pekee kilichotumika kutunga hizo sheria?.
Afu na ww mwenye haka kakoment nilokokakot hujui haya yote ?
Wewe ni 'ignorant.'
Hujui miswada ya sheria kama hii inaanzia wapi?
Na wala hujui bunge lako tukufu linamfanyia nani kazi? Anayefanyiwa kazi akikataa hakuna wa kukohowa?
"inferiority thinking" zaidi ya unayoonyesha hapa wewe huioni unaona tu ya waTanzania walio na upeo kukuzidi wewe?
 
Watz sijui tuko na inferiority thinking, can't you even imaging there authorities c_ ar taking duty to endorse those laws, everything is Misconducting presidential authority.
Why not abusing the Parliament we phase out during electional time?
Hiki kingereza kimenichefua sana. Kwann usiandike kiswahili tu?
 
Watz sijui tuko na inferiority thinking, can't you even imaging there authorities c_ ar taking duty to endorse those laws, everything is Misconducting presidential authority.
Why not abusing the Parliament we phase out during electional time? Ifike hatua tuwe tunapoint moja kwa moja mamlaka husika zilitunga hizo sheria , hata hao IMF kwann wasilikosoe Bunge letu na wanakimbilia kuikosoa serikali? Hawajui ya kuwa bunge ndo chombo pekee kilichotumika kutunga hizo sheria?.
Afu na ww mwenye haka kakoment nilokokakot hujui haya yote ?
Wao sio wajinga kuilaumu serikali, wanajua fika kuwa bunge la Tanzania ni MUHURI TU. Mambo yote huamuliwa na serikali. That's all.
 
The parliament should not be over weighted by the state.For example The speaker should not be affiliated to any political party to avoid to be biased or inclined to his party ,Ministers should be selected from outside the parliament,after being chosen their appointment should be ratified by the parliament. .Peoples representation in the parliament should reach 100% special seats for women representation should be abolished instead they should be allowed among themselves to contest election through their political parties. Presidential seats should be abrogated.Hopefully such representation can bring changes to avoid scams.
 
...Ifike hatua tuwe tunapoint moja kwa moja mamlaka husika zilitunga hizo sheria , hata hao IMF kwann wasilikosoe Bunge letu na wanakimbilia kuikosoa serikali? Hawajui ya kuwa bunge ndo chombo pekee kilichotumika kutunga hizo sheria?.
Afu na ww mwenye haka kakoment nilokokakot hujui haya yote ?
Kwa hyo bunge ndo linaandaa muswada then linaupitisha?? Hujui kuwa ni sirikali inaandaa na kupeleka muswada bungeni, na kwa mazingira ya Tz lile bunge ni rubber stamp tu!

Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
kwa hyo chura ndo jiwe, au?
 
Back
Top Bottom