KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
1. Kisukari - 100% ACTIVE
2. Saratani - 100% ACTIVE
3. Vidonda vya Tumbo - 100% ACTIVE
4. Ukimwi - 99% ACTIVE
Taarifa ya saa mbili usiku TBC 1 wameonesha picha za watu wakiwa wamekufa kwa babu Loliondo.
This is very serious, tuamke tuachane na imani potofu, nna amini Mungu ameanza kudhihirisha kuwa he is not involved in that business because otherwise angewaponya hata kabla hawajafika kwa babu.
Nashauri serikali iingilie kati because soon wananchi wataigeukia na kuilaumu na hata kuanzisha maandamano kwa kutowajali wananchi wake ambao wanakufa hovyo porini.
Hayo niliyopigia mstari yanaonesha jinsi gani ulivyo.
Hayo niliyopigia mstari yanaonesha jinsi gani ulivyo.
Mpaka sasa hivi hakuna daktari yeyote aliyethibitisha kwamba m(wa)gonjwa aliyemfahamu/aliyowafahamu (w)akiwa na ugonjwa wa muda mrefu kama kisukari, ukimwi n.k. ambaye/ambao alipata/walipata kikombe cha maji ya uzima toka kwa Babu (w)amepona kabisa na vipimo vyote vinaonyesha kwamba kisukari, ukimwi au gonjwa lolote lile limepotea kabisa, lakini pamoja na kutokuwa na uthibitisho wowote ule bado watu wanamiminika tu!