yaah!Lily sio wasukuma wote, mie langu halijawahi hata kunipiga kofi, huyu G anasema ni chipolopolo mana ka mix......
No way mkuu; kuna action we have to be silent but not on this Man; Na kama ulivyosema Silence means alot It can mean anything! How do you tell kuwa umesamehewa na yeye anajihakikishieje kuwa umejutia action yako na hutarudia hilo kosa; unless hiyo isiwe mara ya kwanza kwa maana amezoea kukutana nazo; don't take this lightly Chief!
unajua wanawake wakiona wameolewa wanajisikiaaaaaaa, sasa tuombe Mungu atoke hospitali salama na atakuwa ameshka adabu ya mbwa mwizi
Unajua ni rahisi sana kutoona kosa katika hili la huyu bwana kama uonavyo wewe kwani unajiona kuwa haikuhusu; sio nduguyo wala si dada yako! Pengine hata.........
vp hapo kwenye red ulitembeza Kichapo nn alipo amka?
Kazi kwelikweli......ila kwa wewe ni "Demu" kwa mwenzako alikua ni Mume!!
sikia mkuu, unategemea mwanmke walivyofika nyumbani alifunga kadomo kake?
wanawake niwajuavyo mimi, alifungulia kadomo kake-stereo hadi mwisho wa volume kumsema mzee, naye mzee akatumia haki yake ya kuzaliwa kumdhibiti, ndiyo matokeo hayo ya kukimbizwa hospitali. hao ni wanawake wenzake hawasemi yote kwa kumlinda mwenzao,
dawa ni mikong'oto tu. zamani kulikuwa na mikong'oto kibao na walisjhika adabu, sasa tangu mmeleta haya madudud ya beijing, hata itandani unasikia anakusukuma!!!!!!!!!
hao ni wanawake wa type zako....
wewe mbona unakazania sana kuna mengi kuna mengi?...chukua ninayoyaongelea.
ah, huyu naye katoka wapi? yani hata maneno yako yanaonyesha kichwani hata hiyo akili hamna. nalihurumia hilo lidemu lako
sikia mkuu, unategemea mwanmke walivyofika nyumbani alifunga kadomo kake?
wanawake niwajuavyo mimi, alifungulia kadomo kake-stereo hadi mwisho wa volume kumsema mzee, naye mzee akatumia haki yake ya kuzaliwa kumdhibiti, ndiyo matokeo hayo ya kukimbizwa hospitali. hao ni wanawake wenzake hawasemi yote kwa kumlinda mwenzao,
dawa ni mikong'oto tu. zamani kulikuwa na mikong'oto kibao na walisjhika adabu, sasa tangu mmeleta haya madudud ya beijing, hata itandani unasikia anakusukuma!!!!!!!!!
mke ilikuwa zamani, siku hizi hakuna tofauti ya mke na demu, yote ,ademu tu, adabu kidogo sana!!
Akili kichwani na mwanaume mwenye akili kichwani angekubali kosa na kuomba msamaha na kama mwanamke bado anaongea mume alipaswa kukaa kimya au kuondoka akisubiri hasira ya bibie ipoe. Lakini kumpiga ni under-low kabisa kwani mwanamke yule kakosewa na kusema ni haki yake- mie ningemtoa sikio kwa meno au ningekamata yale mahang-over yake aende akakandwe huko huko kwa hawara yake.
Akili kichwani na mwanaume mwenye akili kichwani angekubali kosa na kuomba msamaha na kama mwanamke bado anaongea mume alipaswa kukaa kimya au kuondoka akisubiri hasira ya bibie ipoe. Lakini kumpiga ni under-low kabisa kwani mwanamke yule kakosewa na kusema ni haki yake- mie ningemtoa sikio kwa meno au ningekamata yale mahang-over yake aende akakandwe huko huko kwa hawara yake.[/QUOTE]
Mmmmhh!!! hapo ndo ndoa inapokuwa tamu!!
usihic kuwa kuna lingine zaidi ya haya ninayoyaeleza...haya 2songeshe na thread ma bro.
looh...........
demu langu linatanua, usipime!!!!!!!!!!!! nilishalishikisha adabu sasa tunaelewana, nimeliacha bongo, na mimi huku nabeba maboksi. nikirudi bongo na kukuta linamegwa namaliza mtu!!
ni haki yangu ya kuzaliwa bana. na ngoja nikamate hela, mtanikoma!