Imeniuma sana hii kitu


We unataka mke kweli au?
 
Lkn pia angalia kwa jicho la tatu kwamba huyo x-bf wake anaweza akawa anataka huyo dada abakie tu asije akaolewa hata siku moja na kufanikiwa,hivyo anaweza tumia mbinu ya kumchafua ili lengo lake litimie,tafakari chukua hatua.
 

unataka mwanamke au? anakufaa sana maana na wew hukumwambia mimba ulizotoa ma x wako.samehe na sahau
 
Anzia pale mwenzako alipoishia na songa mbele , Upekupeku hutapata Mwanamke yeyote asiyekuwa na Background kama ulivyo wewe
 
Mi nataka kujua mlianza anzaje wewe mwanaume mzima kupiga story za mpenzi wako na shemeji wa zamani?
 
cjaona tatizo hapo bro kwani yeye kutoa mimba kumekuathiri nin kwenye mapenzi yenu?fikiria wewe vingapi umemdanganya?past is past and its already gone focus on future my dear.
 

kweli kabisa wakati mnaanza relation unamuuliza mtu ili ujicondition uko na mtu wa aina gani but akikudanganya mambo mengine ujue kadanganya.
'mmoja nlitaka kuanzisha naye relation nkamuukiza una mtoto/watoto wangapi? kaniambia hajawahi tena nisimkumbushe jinsi ambavyo mama yake na ndugu wanamsema jinsi amechelewa kuoa na hana hata mtoto wakusingiziwa. ktk story za hapa na pale kwa simu akawa anahitaji kwenda kusoma masters akalalamika hela ni nyingi. nkamwambia kwakuwa huna mtoto anayekutegemea kama mimi jibane usome we si bachela hela una maliza pesa na nini? akajikuta anaropoka mtoto wangu kaanza kindergaten natoa ada mimi mtoto mwenyewe kumuona ni shughuli siunajua mwanamke ukimzalisha hujamuoa anakuwa na visaa ila natuma matumiz kuepuka shari. nkamuuliza una mtoto akasema roho imeniuma ulivyonambia sina majukumu na uzee huu. nikamwambia na mengine yote ulonambia nayafuta yote niya uongo tafuta form two umdanganye unafichaje mtoto ulokwisha kumzaa. nikamdelete siku ile kwa sababu hiyo
 
pole sana, me sipendi kudanganywa hata kidogo na hua nina mazoea ya kumuuliza mtu kama hivo ili mwisho wa siku kauli zake ndo zimfunge kwa kweli sipati picha ulivyokua na maumivu juu ya huo udanganyifu me wangu alifungua duka lake kisiri siri hakunishirikisha akatafta mtu akamueka hapo mungu akamtaariza kadhulumiwa hela za mauzo na huyo aliemueka anakuja kunambia et leo siko poa kuna jamaa kanidhulumu hela zangu nauliza ulimkopa eti hapana za mauzo duka nauliza vizur duka gani ndo anabwabwaja tena oh sorry sikukuambia nikamuambia mimi sina hiyana na ww ndo mana mungu aniooneshea mapema sitak tena kuanzia leo bas itakua una vingi sio hivi tu. vinauma sana hasa vikikikuta kama havijakukuta huwez jua
 
Mkiambiwa ukweli mnawaacha ndomana wanawadanganya, yazamani yazamani ukifwatilia sana yatakuumiza.
 
Acha kujipa stress bur mkuu,jana ndo imemjenga akawa hivo leo huna budi kuptezea coz historia haifutiki
 

Thanks for the nice comment, Wanasahau boriti iliyo katika macho yao na kuangalia ya wengine!
 
Hilo swali hata sitaki kuuliza. Coz chances za kuambiwa hajawahi ni 100%.
 
Mkuu usikute hata hili swali ushawahi uliza..... sijui nalo alikujibu vipi....?
Btw girls ain't loyal
Pole sana
 

Attachments

  • 1413538963846.jpg
    17.9 KB · Views: 78
Sasa ulitaka akuambie ukweli ili umuache?
Hata hivo za kuambiwa changanya na zako
 
:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:...hujambo?
 

Jiangalie kwanza kama ww ni msaf ndo umhukumu! Huwez jua altoa hyo mimba ktk mazngira yapi! Na kutokukuambia alkuwa na sababu. Coz baadh ya me hampend kuoa wanawake wenye watoto au alyewah kupata mimba.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…