Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,025
Kazi ya mwajiri ni kukulipa mshahara ila ni wajibu wako kuwa tajiri pale inapobidi.
Kama utaweza kupanga bajeti yako wisely na kuishi within your means Basi Hakuna pesa ndogo hata Kama unalipwa 20k kwa mwezi.
Ninachokiona hapo ulishindwa ku transform passive income ili kutengeneza mirija ya mingine ya pesa Hilo ni kosa kubwa.
Mshahara wa 1.3 mil ni mkubwa sana Kama ungeweza kutengeneza vyanzo vingine vya mapato.Ila Yote kwa Yote bado nafasi bado unayo unaweza kufanya masahihisho kabla ya kufikia miaka 30
Kama utaweza kupanga bajeti yako wisely na kuishi within your means Basi Hakuna pesa ndogo hata Kama unalipwa 20k kwa mwezi.
Ninachokiona hapo ulishindwa ku transform passive income ili kutengeneza mirija ya mingine ya pesa Hilo ni kosa kubwa.
Mshahara wa 1.3 mil ni mkubwa sana Kama ungeweza kutengeneza vyanzo vingine vya mapato.Ila Yote kwa Yote bado nafasi bado unayo unaweza kufanya masahihisho kabla ya kufikia miaka 30