nexus white
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 210
- 81
[h=2]Waziri mkuu alisema wamejipanga vizuri sana katika mgomo huu wa madaktari, sasa inakuwaje tena wanaenda mahakamani kusitisisha mgomo, nilidhani wataleta madaktari kutoka nje ya nchi na pia kuajiri wapya, kweli nimeamini serikali ya watukutu haifunzwi daima.[/h]