Imekuwaje tena?

nexus white

JF-Expert Member
Oct 14, 2011
210
81
[h=2]Waziri mkuu alisema wamejipanga vizuri sana katika mgomo huu wa madaktari, sasa inakuwaje tena wanaenda mahakamani kusitisisha mgomo, nilidhani wataleta madaktari kutoka nje ya nchi na pia kuajiri wapya, kweli nimeamini serikali ya watukutu haifunzwi daima.[/h]
 
Waziri mkuu alisema wamejipanga vizuri sana katika mgomo huu wa madaktari, sasa inakuwaje tena wanaenda mahakamani kusitisisha mgomo, nilidhani wataleta madaktari kutoka nje ya nchi na pia kuajiri wapya, kweli nimeamini serikali ya watukutu haifunzwi daima.

Mkuu hapo kwenye red mpango wenyewe aliokuwa anasema Pinda ndiyo huo wa kuitumia Mahakama.Hovyo kabisa utawala wa baba Mwanaasha.
 
Back
Top Bottom