imekaaje hii

MUSINGA

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,071
1,252
unakuta uko na uhusiano na mtu wa muda mrefu sana na siku zote haonyeshi kama anauhitaji huo uhusiano,ila anaponusa kuwa kuna dalili ya kuachwa anaanza kuonyesha mbwembwe za kila aina na kufanya yale uliyokuwa ukiyahitaji mwanzoni,ni uoga au alikuwa anakujaribu.
 
unakuta uko na uhusiano na mtu wa muda mrefu sana na siku zote haonyeshi kama anauhitaji huo uhusiano,ila anaponusa kuwa kuna dalili ya kuachwa anaanza kuonyesha mbwembwe za kila aina na kufanya yale uliyokuwa ukiyahitaji mwanzoni,ni uoga au alikuwa anakujaribu.




HAPO KWENYE REDI Utamu kuacha
 
Na akikurudisha kwenye line lazima alipe kijumla jumla
 
kuachwa noma ila kama ukiachwa kubaliana na hali halisi kwani kulazimisha mapenzi sio wala nin unawezajipa matatizo makubwa at the time ungepishana nayo kama ungekubali, mimi binafsi mtu akiniacha poa tu
 
kwakweli watu huwaga hatuthamini vitu mpaka tuone ni karibu na mwisho au kuondoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom