Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 718
- 1,539
Kwahiyo ile Elimu ya Secondary ya Miaka miwili haipo ten?Kuanzia mwaka huu 2024, QT haitakuwepo badala yake wote private candidates na wanafunzi wa shuleni watafanya mtihani sawa wa upimaji yani FTNA.
Masomo ya kujisajili na kufanyia mtihani ni saba ila akipata D mbili kati ya hayo, ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne (CSEE) mwaka unaofuata.
Kwenye mtihani wa kidato cha nne atajisajili masomo 7.
Zingatia: Mwanafunzi anaweza kujisajili masomo 7 yanayohitajika ila akaamua kuwa serious kusoma masomo manne au matano tu yanayoendana na combination (tahasusi) anayoipenda.
Hizi tarifa zako umezipata wapi mbona Necta zipo hiziKuanzia mwaka huu 2024, QT haitakuwepo badala yake wote private candidates na wanafunzi wa shuleni watafanya mtihani sawa wa upimaji yani FTNA.
Masomo ya kujisajili na kufanyia mtihani ni saba ila akipata D mbili kati ya hayo, ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne (CSEE) mwaka unaofuata.
Kwenye mtihani wa kidato cha nne atajisajili masomo 7.
Zingatia: Mwanafunzi anaweza kujisajili masomo 7 yanayohitajika ila akaamua kuwa serious kusoma masomo manne au matano tu yanayoendana na combination (tahasusi) anayoipenda.
Elimu ya sekondari ya kusoma shuleni bado ipo, ila wale wanaotaka kufanya kama watahiniwa wa kujitegemea hawatafanya QT bali watafanya upimaji wa kitaifa wa kidato cha pili (FTNA).Kwahiyo ile Elimu ya Secondary ya Miaka miwili haipo ten?
Kipi nilichosema una mashaka nacho ili nikupe ufafanuzi zaidi?Hizi tarifa zako umezipata wapi mbona Necta zipo hizi
Babu baby my fureeendQt ni elimu nzuri kiukweli mie ninaushuhuda kwani hata wengine tulipita huko
1.Asisome masomo ya science
2.Awe ma akili za ziada hata kwa hayo masomo arts.
3. English itamsaidia kuelewa harka masomo
4.yaani tuition sanaa yaani .
Qt kufaulu ni mgumu mno ila ukimuwezesha atawezkufa
Kujamiiana siyo socializeShule ni sehemu ya mtoto kujamiiana(socialize) na rika lake,
Muache mtoto aende sambamba na umri wake.
Kwahiyo ili mwanafunzi wa QT afanye mtihani wa form four sharti afaulu kwanzia d mbili?Kipi nilichosema una mashaka nacho ili nikupe ufafanuzi zaidi?
Wala hata sio ngumu ila kama ufaulu sahivi ni mpaka uwe na d mbili kuendelea ni shunghuliKufaulu mtu wa QT ni ngumu mno maana kule kuna Paper 1 na paper 2,wakati hawa kawaida wanapiga paper 1 moja tu
Acha ubishi, taarifa hiyo ni ukweli, mitihani wa QT umefutwa, hivyo Kwa Sasa wale wa Mfumo usio rasmi watafanya paper la form two Sawa na wale wa kwenye Mfumo rasmiHizi tarifa zako umezipata wapi mbona Necta zipo hizi
Anatakiwa afanye mtihani wa upimaji wa kidato cha pili (FTNA) kama wanaofanya form two kila mwaka siyo Qualifying Test (QT) na akifanikiwa kufaulu kwa angalau D mbili basi ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne (CSEE) kama private candidate.Kwahiyo ili mwanafunzi wa QT afanye mtihani wa form four sharti afaulu kwanzia d mbili?
Sio tena mtihani wa Upimaji?
Hii ni shughuli mpya kwa wana QT wapya
Kwaiyo form 3&4 utasoma Mwaka Mmoja Alfu kisha utafanya Necta kama PC siyo?Anatakiwa afanye mtihani wa upimaji wa kidato cha pili (FTNA) kama wanaofanya form two kila mwaka siyo Qualifying Test (QT) na akifanikiwa kufaulu kwa angalau D mbili basi ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne (CSEE) kama private candidate.
Ndiyo form 1 & 2 kwa mwaka 1 na form 3&4 kwa mwaka 1 kama mtu anaamini atamudu inaruhusiwa.Kwaiyo form 3&4 utasoma Mwaka Mmoja Alfu kisha utafanya Necta kama PC siyo?
Endelea kujidanganya hivyo hivyoshule aliyotokea ni hizi za pesa ndefu.
maana shule za pesa ndefu masomo kama ya form 1 na 2 ni ya darasa za saba
Ungekua na nia ya kurekebisha ungeweka basi hilo neno ambalo ni kiswahili fasaha....Kujamiiana siyo socialize