A Preacher
Member
- Jul 14, 2011
- 62
- 23
Ndg wana JF
Najua kila mwanadamu anaimani yake! Ila kwa upande wangu mimi nina imani hii baada ya uchaguzi mkuu 2015.
Najua kila mwanadamu anaimani yake! Ila kwa upande wangu mimi nina imani hii baada ya uchaguzi mkuu 2015.
- Dr. Slaa ndiye ataye kuwa rais mteule wa nchi hii pamoja kwamba wapo watakaoiba kura zake nyingi ila mwisho wa siku zhazitawatosha maana zitakuwa nyingi mno
- Mafisadi wote wakati huo watakuwa na mawazo tofauti, wapo watakaotaka kuihama nchi maana najua kabisa hatakuw na utani nao
- Kuanzia mwaka huo Watanzania wengi walio wa hali ya chini watajenga nyumba nyingi za kuishi zenye kufaa na sio hizi za tembe za serikali mbovu ya CCM
- Pia Watanzania wengi watanufaika na rasilimali zao na sio kama sasa hivi BABA, MAMA NA WATOTO wa wakuu wa nchi ndio wananufaika
- Wanafunzi hawatafukuzwa vyuoni kwa mitazamo ya kisiasa kama ilivyo sasa