Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Jamani kwa kweli baba wa taifa alikuwa na malengo na nia nzuri sana kwa watanzania. Ebu tuziangalie imani za chama chetu cha Mapinduzi. Nita nukuu....
Chama kinaamini kwamba:-
Binadamu wote ni sawa.
Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.
Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.
Kweli imani hizi zinatekelezeka? au zimepitwa na wakati? au ni nzuri kuzitamka mdomoni? Tafakari.
Chama kinaamini kwamba:-
Binadamu wote ni sawa.
Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.
Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.
Kweli imani hizi zinatekelezeka? au zimepitwa na wakati? au ni nzuri kuzitamka mdomoni? Tafakari.