Imam kauawa Marekani, sasa hivi kimya

Imam kauawa Marekani, sasa hivi kimya

Nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
2,230
Reaction score
3,333
Kama ujuavyo, linapotoea tukio la mauwaji katika nchi za Magharibi, vyombo vyote vya habari vya nchi hizo usimamisha vipindi vyote na kufuatilia kwa ukaribu tukio zima, huku upelelezi wa nguvu ukiendelea.

Lakini hii imekuwa tofauti kwa Imam Maulama Akonjee na mwenzie Thara Uddin katika msikiti mmoja huko Marekani jana, tangu alipouawa hapakuwa na utofauti sana na siku za kawaida, hakuna chombo cha habari wala polisi wanaojiuhusisha sana na tukio hilo.
 
Haijatokea Muda huu hii toka jana imetokea, usitegemee kusikia lolote zaidi ya kejeli,
 
Wamarekani wapo kwenye kipindi cha uchaguzi....na washajua D.Tramp atakuwa rais wao....na mlengwa wa Mh.huyu unaujua kuhusu ndugu zetu wa upande wa pili.
 
Kama ujuavyo, linapotoea tukio la mauwaji katika nchi za Magharibi, vyombo vyote vya habari vya nchi hizo usimamisha vipindi vyote na kufuatilia kwa ukaribu tukio zima, huku upelelezi wa nguvu ukiendelea. Lakini hii imekuwa tofauti kwa Imam Maulama Akonjee na mwenzie Thara Uddin katika msikiti mmoja huko Marekani jana, tangu alipouawa hapakuwa na utofauti sana na siku za kawaida, hakuna chombo cha habari wala polisi wanaojiuhusisha sana na tukio hilo.
Mkuu si kweli, hilo tukio jana mm nimelifuatilia sana kupitia CNN INTERNATIONAL, walikua wanafanya live coverage kabisa tena nikashangaa ALJZR ndo hawakuwa wakifanya coverage that time........
 
Mkuu si kweli, hilo tukio jana mm nimelifuatilia sana kupitia CNN INTERNATIONAL, walikua wanafanya live coverage kabisa tena nikashangaa ALJZR ndo hawakuwa wakifanya coverage that time........

Sawa, lakini hakuwa serious sana kama tulivyozoea
 
Binadamu nae huwa akili zikimwishia anakuwa kama mnyama....haiwezekani kisa dini watu wanauwa
 
mimi nikiwa shule, historia lilikuwa somo rahisi sana. ukiijua historia utajua vipi uchangie mada kama hizi....
 
Serious ipi unataka zaidi ya hiyo.Wamarekani muda huu wapo kwenye uchaguzi na hii ndio habari kuu.

Sawa Ngongo, uenda na wewe usingeipa coverage ya
kutosha
 
Angeuwawa padre ungesikia magaidi wa kiislam wanataka kuvuga uchaguzi, ila kwa sababu kauwawa anayestahiki kuuwawa wanadai wako bize na uchaguzi
 
Angeuwawa padre ungesikia magaidi wa kiislam wanataka kuvuga uchaguzi, ila kwa sababu kauwawa anayestahiki kuuwawa wanadai wako bize na uchaguzi
Na hata wale wambea wa humu wenye midomo kama ya mabata siwaoni leo,
Sasa subiri mwarabu agombane disko na mzungu,wazinguane halafu amtwange risasi ,uwaone wambea watakavyoamka wakiongoza na bwana wao trump
 
Wewe umechanganyikiwa siyo bure, yaani kifo cha hilo gaidi ndo iwe mwisho wa marekani? hii ni zaidi ya bangi sasa.

Asante ndugu....lakini sidhani kama kuna sehemu nimekutukana.....zaidi ya mimi kutoa maoni yangu......jifunze kuwa mstahimilivu ndugu.....tupo kwenye jamii yenye watu wenye maoni tofauti....huku kila mmoja akiwa na uhuru wa kutoa maoni yake.....!!
 
Ni mpumbavu pekee mwenyewe daima anawaza anaonewa.......
 
Asante ndugu....lakini sidhani kama kuna sehemu nimekutukana.....zaidi ya mimi kutoa maoni yangu......jifunze kuwa mstahimilivu ndugu.....tupo kwenye jamii yenye watu wenye maoni tofauti....huku kila mmoja akiwa na uhuru wa kutoa maoni yake.....!!
Ni kweli ndugu yangu, lakini maoni yako yalivuka mpaka, Haiwezekani mtu mmoja, gaidi mmoja tu eti afanye mwisho wa USA ufike, hata Kama ni maoni yalikuwa ni ya kushangaza sana.
 
Kama ujuavyo, linapotoea tukio la mauwaji katika nchi za Magharibi, vyombo vyote vya habari vya nchi hizo usimamisha vipindi vyote na kufuatilia kwa ukaribu tukio zima, huku upelelezi wa nguvu ukiendelea.

Lakini hii imekuwa tofauti kwa Imam Maulama Akonjee na mwenzie Thara Uddin katika msikiti mmoja huko Marekani jana, tangu alipouawa hapakuwa na utofauti sana na siku za kawaida, hakuna chombo cha habari wala polisi wanaojiuhusisha sana na tukio hilo.
Ni uvivu wako tu habari zmeandikwa sana media kubwa za marekan,russia mpk middle east wewe km ulikua unasubiria uckie kupitia TBC hayo ni matatizo yako binafs
 
Back
Top Bottom