Imagine Membe angekuwa Rais toka 2015?

Imagine Membe angekuwa Rais toka 2015?

Unga ungekuwa halal.
Barabara zote zingekuwa makorongo huku wateule na familia wakila bata nje ya nchi kila siku kwa fedha za mikopo.
1/2 ya ardhi ingeshagawiwa kwa king kungflua.
Mbuga za wanyama zote zingekuwa zimeuzwa kwa kina tiptip kwa mikataba ya milecle.
Bills zingepitishwa kwamba hakuna kupitia mikataba iliyokwisha kuwekwa milele na kujaribu kuhoji ni uhaini.
Vyama vya upinzania vingekuwepo tu kama mapambio.
Majiji yote na miundo mbinu yake yangebinafsishwa kwa king tiptip.
TRA ingepewa yule wa rambaramba.
Matabaka kati ya matajiri na watwana yanggezidi kuongezeka.
Maisha ya mwanakijiji yangezidi kuwa duni.
EE MUNGU INUSURU NCHI YETU NA HILI JINAMIZI. JAMAA NI NDOTO MBAYA SANA. ANGEJITAMBUA SINGEKUWA ANACHEKACHEKA NA KUUDHI WATU KWENYE VYOMBO VYA HABARI.

HAFAI HATA KUWA BALOZI WA NYUMBA KUMI.
 
Membe angekuwa rais, Lisu asingepigwa risasi 16

Mawazo asingekufa? Uchunguzi wa vifo vya wapinzani ungefanyika?
Wasiojulikana wasingekuwepo?
Ujechausingefanyika?
Umwagaji d,,mu kwenye chaguzi usingekuwepo?
Raslimali za nchi zingekuwa salama?

Kumbuka haya unayoyasema kipindi gani yali asisiAwa?

ACHENI KUWE WEPESI WA KUSAHAU. MTATUTISHA TUOGOPE KUSOMA HOJA ZENU.
 
VS Kujenga infrastructures na mahospitali na kununua ndegez ambapo mtz asiye na gari ama pesa ya kupanda ndege hafwaidiki.

Lazima tuwaze na kuishi kama tulivyozoea.

Mambo amayoyafanya Magu hatujayazoea kabisa na hatuyaelewi.

Simply kwakuwa uwezo wetu wa kuwaza ni wa leo na wa kunusuru matumbo[emoji3][emoji3]

Ange ajiri vijana,angepandisha mishahara watumishi ambao ndio engine ya nchi,ange boresha kilimo na wakulima,maisha yangekuwa bora kwa watu wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa Tungekuwa Tanzania ya ovyo sana, mimi nampa kongole JPM kwa uthubutu na uimara wake hata kikwete aliona mbali sana mana Membe hana jipya

Kikwete hakuona mbali. Mungu pekee ndio alimchagua Magu. Unadhani kikwete alifanya nini kikubwa?
Magu 5 years= Kikwete 10 years = Mkapa 10 years = Mwinyi 10 years.

Mungu ni mkubwa. Sifa zote zirudi kwakwe.
Idumu Tanzania daima.
 
bandari ya Bagamoyo ingekuwa mali ya Wachina

na tusisahau hizi bandari kavu ambazo walijianzishia, kujimilikisha na kupeana contracts of service Harbours Authority na wa kina Bakhressa, GSM, na makatibu wa CCM ya Kikwete... yangerudi yale ya mikataba ya TICTS ya kina Karamagi
 
So tuendelee kuwa nchi ya madili.. unalala kapuku unaamka Manji[emoji1][emoji1]
VS Kujenga infrastructures na mahospitali na kununua ndegez ambapo mtz asiye na gari ama pesa ya kupanda ndege hafwaidiki.

Lazima tuwaze na kuishi kama tulivyozoea.

Mambo amayoyafanya Magu hatujayazoea kabisa na hatuyaelewi.

Simply kwakuwa uwezo wetu wa kuwaza ni wa leo na wa kunusuru matumbo[emoji3][emoji3]
 
Wauza sembe kina rizimoko wangeflourish. Kina Abdul Nsembo wangekuwa wanaendelea kuuza sembe na kamwe wasingekuwa jela.

Nitajie wauza unga waliokamatwa awamu ya nne na waliokamatwa awamu ya tano, halafu pima au uliza wanaofahamu nani walikuwa matycoon..
 
Kuna mambo ambayo wanadamu tumefichwa. Pamoja na utawala huu kulalamikiwa hasa juu ya haki za binadamu na maslahi kwa wafanyakazi, lakini Tanzania ya membe ingekua ya ajabu zaidi.

Tofauti ya Membe na Magufuli ni kwamba mmoja anaamini Tanzania ya mendeleo bila wazungu na mmoja ana amini bila wazungu hakuna maendeleo.

Hivyo kwa utaratibu huu Tanzania ya Membe ingekua ya ni Tanzania ya wageni na wakuu kula bata.

Mtwara ingekuwa muda huunimejaa wazungu, Bagamoyo ingekua imeshika kasi huku bandari za dar, mtwara, na tanga zikiwa hoi.

Reli ingekuwa imeshikwa na wachina kama wenzetu Kenya japo naamini ingekua imesha isha muda huu.

Miuundo mbinu kama afya, barabara, shule , bandari, meli kwenye maziwa makuu hali ingekua mbaya sana.

Tanzania ingekua ni nchi moja wapo inayo hudhuria vikao karibia vyote vya UN na taasisi nyingine.

Kwa ugonjwa wa corona hadi muda huu tungekua tumefungiwa home, na shule na vyuo zingeambiwa hadi 2021.


Nakubaliana na wewe
 
Kuna mambo ambayo wanadamu tumefichwa. Pamoja na utawala huu kulalamikiwa hasa juu ya haki za binadamu na maslahi kwa wafanyakazi, lakini Tanzania ya membe ingekua ya ajabu zaidi.

Tofauti ya Membe na Magufuli ni kwamba mmoja anaamini Tanzania ya mendeleo bila wazungu na mmoja ana amini bila wazungu hakuna maendeleo.

Hivyo kwa utaratibu huu Tanzania ya Membe ingekua ya ni Tanzania ya wageni na wakuu kula bata.

Mtwara ingekuwa muda huunimejaa wazungu, Bagamoyo ingekua imeshika kasi huku bandari za dar, mtwara, na tanga zikiwa hoi.

Reli ingekuwa imeshikwa na wachina kama wenzetu Kenya japo naamini ingekua imesha isha muda huu.

Miuundo mbinu kama afya, barabara, shule , bandari, meli kwenye maziwa makuu hali ingekua mbaya sana.

Tanzania ingekua ni nchi moja wapo inayo hudhuria vikao karibia vyote vya UN na taasisi nyingine.

Kwa ugonjwa wa corona hadi muda huu tungekua tumefungiwa home, na shule na vyuo zingeambiwa hadi 2021.


Raisi pekee,aliyeweza kuweka mfumo mzr wa kukusanya mapato,ni Mkapa,aliunda TRA,na ni raisi pekee aliyeweza kukusanya mapato na kulipa deni la nje,
Huyu wa sasa hv anakopa,anapora,na anatumia na hataki kuulizwa,
Hifadhi ya burigi,wanysma wameamishiwa kutoka hifadhi zingine,Uwanja wa chato,hataki kuulizwa katumia Tsh ngapi
 
Kwani MAGUFULI NA KIKWETE NANI ALILETA UNAFUU WA MAISHA KWA WATANZANIA? UWEZO WA WÀNANCHI KUJENGA, KUMILIKI MAGARI, MASHAMBA NK.
Kwangu mimi maisha yangekuwa nafuu sana. Mishahara juu, miundombinu ya barabara na bandari ingekuwa safi, uhuru wa bunge na mahakama ungekuwa juu. Ajira zingetolewa kama haki ya raia sio hisani ya rais kama afanyavyo kwa vijana wa JKT. Tusingepata Spika wa hovyo wala wakuu wa mikoa wa hovyo kama MAKONDA.
Lkn tusingekuwa na Ndege zile, reli ya kati ingekuwa hoi. Pia asingetembea na mabegi ya pesa kugawa hovyo makanisani na njiani, Mabeyo asingekuwa CDF wala SIRRO kuwa IGP, isingetokea mtu kufukuzwa kazi hadharani nk.
Hiyo mishara juu ungelipwa kutoka wapi wakati watu hatulipi kodi na pesa za uma tungezitumia kwa kazi na bata iliyopoa, mngedai mishahara mpaka ulaya ndo wawalipe
Cha maana mangechoshwa na mabomu ya machozi ili msiandmane
Wakati huo mkuu yuko ulaya anajenga mahusiano ya kimataifa.
 
Kuna mambo ambayo wanadamu tumefichwa. Pamoja na utawala huu kulalamikiwa hasa juu ya haki za binadamu na maslahi kwa wafanyakazi, lakini Tanzania ya membe ingekua ya ajabu zaidi.

Tofauti ya Membe na Magufuli ni kwamba mmoja anaamini Tanzania ya mendeleo bila wazungu na mmoja ana amini bila wazungu hakuna maendeleo.

Hivyo kwa utaratibu huu Tanzania ya Membe ingekua ya ni Tanzania ya wageni na wakuu kula bata.

Mtwara ingekuwa muda huunimejaa wazungu, Bagamoyo ingekua imeshika kasi huku bandari za dar, mtwara, na tanga zikiwa hoi.

Reli ingekuwa imeshikwa na wachina kama wenzetu Kenya japo naamini ingekua imesha isha muda huu.

Miuundo mbinu kama afya, barabara, shule , bandari, meli kwenye maziwa makuu hali ingekua mbaya sana.

Tanzania ingekua ni nchi moja wapo inayo hudhuria vikao karibia vyote vya UN na taasisi nyingine.

Kwa ugonjwa wa corona hadi muda huu tungekua tumefungiwa home, na shule na vyuo zingeambiwa hadi 2021.


mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Back
Top Bottom