Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,706
Kuna mambo ambayo wanadamu tumefichwa. Pamoja na utawala huu kulalamikiwa hasa juu ya haki za binadamu na maslahi kwa wafanyakazi, lakini Tanzania ya membe ingekua ya ajabu zaidi.
Tofauti ya Membe na Magufuli ni kwamba mmoja anaamini Tanzania ya mendeleo bila wazungu na mmoja ana amini bila wazungu hakuna maendeleo.
Hivyo kwa utaratibu huu Tanzania ya Membe ingekua ya ni Tanzania ya wageni na wakuu kula bata.
Mtwara ingekuwa muda huunimejaa wazungu, Bagamoyo ingekua imeshika kasi huku bandari za dar, mtwara, na tanga zikiwa hoi.
Reli ingekuwa imeshikwa na wachina kama wenzetu Kenya japo naamini ingekua imesha isha muda huu.
Miuundo mbinu kama afya, barabara, shule , bandari, meli kwenye maziwa makuu hali ingekua mbaya sana.
Tanzania ingekua ni nchi moja wapo inayo hudhuria vikao karibia vyote vya UN na taasisi nyingine.
Kwa ugonjwa wa corona hadi muda huu tungekua tumefungiwa home, na shule na vyuo zingeambiwa hadi 2021.
Tofauti ya Membe na Magufuli ni kwamba mmoja anaamini Tanzania ya mendeleo bila wazungu na mmoja ana amini bila wazungu hakuna maendeleo.
Hivyo kwa utaratibu huu Tanzania ya Membe ingekua ya ni Tanzania ya wageni na wakuu kula bata.
Mtwara ingekuwa muda huunimejaa wazungu, Bagamoyo ingekua imeshika kasi huku bandari za dar, mtwara, na tanga zikiwa hoi.
Reli ingekuwa imeshikwa na wachina kama wenzetu Kenya japo naamini ingekua imesha isha muda huu.
Miuundo mbinu kama afya, barabara, shule , bandari, meli kwenye maziwa makuu hali ingekua mbaya sana.
Tanzania ingekua ni nchi moja wapo inayo hudhuria vikao karibia vyote vya UN na taasisi nyingine.
Kwa ugonjwa wa corona hadi muda huu tungekua tumefungiwa home, na shule na vyuo zingeambiwa hadi 2021.

