HYGEIA I love your psychology. I wish kila mmoja angekuwa anajaribu ku apply hata kwa levoWee Bishanga wee. Nilitahadharisha mchangiaji asiingie moyoni mwangu maana hakuna kitu. Huo utongozaji wa kijiniaz umeuona kwenye screen gani? Kwa nini waafrika tuko hivyo? Tulipokuwa chuoni, Mwanachuo wa kiume akitembelewa na mama yake utasikia wanasema: 'Aisee jamaa leo kaleta import iliyochoka ile mbaya'
Bishanga, mie sitongozi mtu hapa ila nafanya mazoezi ya psychology tu.
Judgement is that the judgement you choose to give?Pole sana mtoa mada!
Apewae pole maanake kuna huruma unamhurumia.
Umejipinda na bonge la thrade! Laiti ungalijua kua Erotica ni mwanaume usingejichosha. Ni hivi kwa mujibu wa kiitejelensia huyo ni Chambegu kidume na kimo humu Jf kwa ID ya kiume yenye initial B otherwise fanya tafiti utanipa majibu.
nimeyasikia Bishanga.... ila mimi bado napenda wewe kuliko yeyote yule. mwaaaaah.
mtotowamjini...... teh teh teh... mie nashangaa mbona huwa sitaji sana ngono? acha kunisingizia papito.erotica unaona topic zako za ngono zinavowapagaisha watu humu ndani? utakuja vunja ndoa za watu hivi hivi:happy:
kwa maneno matamu uliyotowa humu unadhani ukinitongoza nitakataa?
na uzuri wangu huu, na urembo wangu ukiongeza na sifa ulizonimwagia hapa,
nahisi kukupa tu hio nafasi ya kuendelea kumwagia na mengine mengi kwangu sote tufurahi.
Erotica feels erotically erotic after reading this erotic post from your erotically inplanted by erotic feelings.
My darling, patient and lovely HYGEIA come this way.......... mwaaaaaaaaaah. :A S-rose:
Yaani nipo hapa namuuguza Erotica baada ya kuDO kwa style alizozoea, yaani itachukua muda sana hadi ajitambue na kuanza kubahave.
Halafu kameanza kuwa kakorofi, kweli alitaka Ndahani awepo ndipo ale chakula nikamwambia Ndahani ameenda Mombasa kuokoa raia wa Marekani wanaokimbia tishio la ugaidi, lakini haelewi hadi Paxman alipokuja to her rescue ndipo ametulia kidogo.
Mwaka huu mdogo wangu sweetlady kazi tunayo.
usipotee njia hapo bado tunakupenda
Wewe tena mke mwenza?????......nakuaminia teh teh!
ndio maana mimi penda sana mimi na wewe. hatunyimani sifa.
nimemmiss tu hubby dabby klorokwini sijui atakuja lini papito wetu.
nimemkumbuka nimeingia majonzi ngoja nijipumzishe kabla majonzi
hayajaamia kwa watoto. mwaaaaaah mwenzato.
teh teh teh. The secretary roho bado inahaha kwa Bishanga? :tonguez:
Pole sana mtoa mada!
Apewae pole maanake kuna huruma unamhurumia.
Umejipinda na bonge la thrade! Laiti ungalijua kua Erotica ni mwanaume usingejichosha. Ni hivi kwa mujibu wa kiitejelensia huyo ni Chambegu kidume na kimo humu Jf kwa ID ya kiume yenye initial B otherwise fanya tafiti utanipa majibu.