kwangu hakipo hicho ulichokiwekea mshale.Mevnatumia google.unaenda apo kwenye hako niliko kawekea mshaleView attachment 1966357
Mevnatumia google.unaenda apo kwenye hako niliko kawekea mshaleView attachment 1966357
Sio picha zote unaweza kuzipata mkuu. Ni zile tu za watu maarufu au zilizowahi kuwekwa google pamoja na maelezo yake.Fafanua please..mfano mtu kanitumia picha
Nataka kuitafuta kwenye Mitandao.. unafanya je.
Update google yakokwangu hakipo hicho ulichokiwekea mshale.
Iyo picha unayo taka kui search ukiwa nayo kwa gallery .ukienda apo nilipo oneshea utafanya kui tap ita search yenyewe..lakini kama alivyo sema kikiboxer hapo juu sio picha zote unaweza kuzipata, utapata zile zile zilizo wekwa mtandaoni tuFafanua please..mfano mtu kanitumia picha
Nataka kuitafuta kwenye Mitandao.. unafanya je.
Iyo picha unayo taka kui search ukiwa nayo kwa gallery .ukienda apo nilipo oneshea utafanya kui tap ita search yenyewe..lakini kama alivyo sema kikiboxer hapo juu sio picha zote unaweza kuzipata, utapata zile zile zilizo wekwa mtandaoni tu
Sio picha zote unaweza kuzipata mkuu. Ni zile tu za watu maarufu au zilizowahi kuwekwa google pamoja na maelezo yake.
Una tafuta google search using photos utapata picha zinazofanana na hiyo pamoja na maelezo yake.
Mimi uelewa wangu ndio huo kuna kidude kwenye gari nilikuwa sikijui jina nikapiga picha nikasearch nilikipata jina lake.
Nenda play store search app inaitwa Shazam itakufaa sana kwa hitaji lakoNa mimi nadandia lift hapahapa, ni program gani kama nyimbo inapigwa redion unaweza kutumia simu yako kujuwa ni nyimbo ya nani?
Nina wasiwasi na hii commentKama mtu huyo ni maarufu,
Tumia App ya SHAZAM pale katika scan chagua image itakuletea jina la mtu ulosearch picha yake.
Aweke linkFafanua please..mfano mtu kanitumia picha
Nataka kuitafuta kwenye Mitandao.. unafanya je.
Only Huawei can do that, natumia huaweiSio picha zote unaweza kuzipata mkuu. Ni zile tu za watu maarufu au zilizowahi kuwekwa google pamoja na maelezo yake.
Una tafuta google search using photos utapata picha zinazofanana na hiyo pamoja na maelezo yake.
Mimi uelewa wangu ndio huo kuna kidude kwenye gari nilikuwa sikijui jina nikapiga picha nikasearch nilikipata jina lake.
Na mimi nadandia lift hapahapa, ni program gani kama nyimbo inapigwa redion unaweza kutumia simu yako kujuwa ni nyimbo ya nani?
Mfano nimeona picha ya mtu kwenye Mitandao nataka kujua ni Nani au I'd zake za online ..Una search vipi?
Nimewahi sikia Sana kuhusu image search but sijaelewa inafanyaje kazi au kuna apps za kazi hizo?
Tumia Shazam kiongozi. I-download PlayStoreNa mimi nadandia lift hapahapa, ni program gani kama nyimbo inapigwa redion unaweza kutumia simu yako kujuwa ni nyimbo ya nani?