Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,494 Jan 19, 2010 #1 Masa is a social drinker Not Alcoholic at all Ask Fidel, Geof, Xspin, Radical, Nguli and Shemeji yao Mzenj Hes just a pub boy! I am even raising funds for alcohol research Donation pitishia kwenye account ya Masanilo Substance Abuse Foundation (MSAF). Kutoa ni Moyo na Mbarikiwe sana kwa jina la Allah
Masa is a social drinker Not Alcoholic at all Ask Fidel, Geof, Xspin, Radical, Nguli and Shemeji yao Mzenj Hes just a pub boy! I am even raising funds for alcohol research Donation pitishia kwenye account ya Masanilo Substance Abuse Foundation (MSAF). Kutoa ni Moyo na Mbarikiwe sana kwa jina la Allah
Teamo JF-Expert Member Jan 9, 2009 12,272 1,035 Jan 19, 2010 #2 Masanilo said: Masa is a social drinker Not Alcoholic at all Ask Fidel, Geof, Xspin, Radical, Nguli and Shemeji yao Mzenj Hes just a pub boy! Click to expand... hehehe! that's my booy! siku ile haukuvaa hilo kofia,uliliacha kwenye boti?....
Masanilo said: Masa is a social drinker Not Alcoholic at all Ask Fidel, Geof, Xspin, Radical, Nguli and Shemeji yao Mzenj Hes just a pub boy! Click to expand... hehehe! that's my booy! siku ile haukuvaa hilo kofia,uliliacha kwenye boti?....
Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,494 Jan 19, 2010 Thread starter #4 Nguli said: de de de de! mkuu upo? Click to expand... Natafiti Pombe Mkuu leo nilikuwa bar za kule Uwanja wa Fisi
Nguli said: de de de de! mkuu upo? Click to expand... Natafiti Pombe Mkuu leo nilikuwa bar za kule Uwanja wa Fisi
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Jan 19, 2010 #5 DUH kaka ulipotelea wapi weye? Heri ya Mwaka Mpya!!
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,446 Jan 19, 2010 #6 Masanilo said: Natafiti Pombe Mkuu leo nilikuwa bar za kule Uwanja wa Fisi Click to expand... Hahahaha dah mzee uwanja wa Fisi kila aina ya Pombe unaipata mpaka Ulanzi.
Masanilo said: Natafiti Pombe Mkuu leo nilikuwa bar za kule Uwanja wa Fisi Click to expand... Hahahaha dah mzee uwanja wa Fisi kila aina ya Pombe unaipata mpaka Ulanzi.
Teamo JF-Expert Member Jan 9, 2009 12,272 1,035 Jan 19, 2010 #7 Nguli said: de de de de! mkuu upo? Click to expand... naona unacheka ki-KOLOKWINI...!deh deh deh deh! kolokwini ni mweupe au mweusi?....
Nguli said: de de de de! mkuu upo? Click to expand... naona unacheka ki-KOLOKWINI...!deh deh deh deh! kolokwini ni mweupe au mweusi?....
Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,494 Jan 19, 2010 Thread starter #8 chimunguru said: DUH kaka ulipotelea wapi weye? Heri ya Mwaka Mpya!! Click to expand... Nilikuwa niko kwenye tafiti za pombe tumepitisha rasmi Heineken za Kichina (Ndovu) itumike mashuleni!
chimunguru said: DUH kaka ulipotelea wapi weye? Heri ya Mwaka Mpya!! Click to expand... Nilikuwa niko kwenye tafiti za pombe tumepitisha rasmi Heineken za Kichina (Ndovu) itumike mashuleni!
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Jan 19, 2010 #9 Fidel80 said: Hahahaha dah mzee uwanja wa Fisi kila aina ya Pombe unaipata mpaka Ulanzi. Click to expand... hahaha Ulizia kitu inaitwa PINGU hiyo balaa lazima uuziwe na kamba za ku tight miguuni maana ukinywa usiwachafulie watu mazingira bora uyabebe mwenyewe hahahahahaha
Fidel80 said: Hahahaha dah mzee uwanja wa Fisi kila aina ya Pombe unaipata mpaka Ulanzi. Click to expand... hahaha Ulizia kitu inaitwa PINGU hiyo balaa lazima uuziwe na kamba za ku tight miguuni maana ukinywa usiwachafulie watu mazingira bora uyabebe mwenyewe hahahahahaha
senator JF-Expert Member Aug 9, 2007 1,924 66 Jan 19, 2010 #10 Masanilo said: Nilikuwa niko kwenye tafiti za pombe tumepitisha rasmi Heineken za Kichina (Ndovu) itumike mashuleni! Click to expand... tehe teehe huo utafiti aka research kiboko...kigezo gani kimetumika kuifanya itumike mashuleni?Au ndo okoa maji kwa kunywa bia?
Masanilo said: Nilikuwa niko kwenye tafiti za pombe tumepitisha rasmi Heineken za Kichina (Ndovu) itumike mashuleni! Click to expand... tehe teehe huo utafiti aka research kiboko...kigezo gani kimetumika kuifanya itumike mashuleni?Au ndo okoa maji kwa kunywa bia?