nkandereni
Member
- Sep 24, 2013
- 6
- 8
habari za ijumaa wadau..........nina janga linanisumbua naomba mnisadie kwa ushauri plz......ni kwamba nina mahusiano na kaka mmoja na uhusiano haujafika mwaka, ni mtu ambaye tulipendana sana na daima nilikuwa nina furahia kuwa nae naye......siku za hivi karibuni amebadilika sana na nikimuuliza anasema hajabadilika ila ni frustration za kazi na mm nimejitahd sn kuwa karibu naye na kumuonyesha upendo kumuondolea frastrations za kazi.........ninamfahamu ex wake na majuzi hyo dada kanambia anamfatilia sn anataka wakumbushiane na vibaya zaidi kampenda rafiki wa hyo ex hyo ex kanionyesha ushahidi wa msg na kunitajia nyakati alizoniaga anakwenda kazini au amelala ila yuko na hyo dada.........kibaya zaidi jumapili aliniaga anakwenda kulala kwa ajili ya kazi jumatatu kumbe ameenda kuonana na hyo dada na nilipoambiwa nikampigia simu hakupokea............nimejisikia vibaya sana jamani kwann afanye hvo kama hataki tena mahusiano si angesema tu ningeumia ila ningeelewa kuliko kufanya unafiki anaofanya...........na kibaya zaidi natarajia kusafiri nje ya nchi kimasomo ndani ya miezi kadhaa ijayo......naona moyo wangu umechefuka kwa hayo na sina hamu naye tena......nafikiria kukaa nimwambie yote hayo sidhani kama nitaweza kuendelea zaidi naye...........naombeni ushauri wenu plz na nyie