Ilipaswa kuwa mimi

Ilipaswa kuwa mimi

Bar mimi naendaga tu nikiwa na furaha...kwa kipindi kama hiki ni ngumu kunikuta bar
Kumbe ndio maana unalala bar[emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787]
 
joli jolie..

Ni wewe au kuna mtu umemsaidia ndugu!!

Tambua kitu kimoja, wakati anataka muda wa kujitafakari yeye alikuwa keshafikia maamuzi, hakuwa wako tena! Pole sana jamani!!

Amini tuu huo ubavu ungekupwaya huko siku za mbele, Mwambie Mungu Asante, amekuonyesha venye ako mapema sana!! Bado hujachelewa, mwache aende. Wako yuko mahali anasubiria mkutane!
 
Hahah mbona umentag JJ??
joli jolie..

Ni wewe au kuna mtu umemsaidia ndugu!!

Tambua kitu kimoja, wakati anataka muda wa kujitafakari yeye alikuwa keshafikia maamuzi, hakuwa wako tena! Pole sana jamani!!

Amini tuu huo ubavu ungekupwaya huko siku za mbele, Mwambie Mungu Asante, amekuonyesha venye ako mapema sana!! Bado hujachelewa, mwache aende. Wako yuko mahali anasubiria mkutane!
Amen
 
Back
Top Bottom