Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,750
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23]mnaionea tu bia yetu pendwa
Pale unapochanganya safari na togwa [emoji124]
Pale unapochanganya safari na togwa [emoji124]
Say something, I'm giving up on youNahitaji kujua napaswa kulipigania penzi lako au kunyamaza
Mangatara kwa kule kwetu maana yake ni majanga.Kweli kama kuna kitu ngumu kuamini ni kidume kuachwa. Kwanza kabisa huwa unaachwa pindi mambo ndo yanakunyookeeni yaani mpo juu. Kipindi huoni wengine tena, ghafula anakuacha huko huko anachupa na kuangukia kwa mwengine juu kwa juu.
Kidume ukiangalia, huamini macho yako. Unamuona yuleeeeee na kamjamaa. Ushauri; Usijaribu kwenda pigania penzi lako. Atakuona fala sana. Atajiona very saana. Jifanye ka ulikufa macho siku ile alipoondoka. Jifanye ka hujapungukiwa. Ila, usiende kilabuni kupunguza wazo. Utaongeza wazo.
Jifanye ka alikufa na yule unayemuona ni mzuka wake tu. Sema ka yule sungura; "Kwanza libaaaya". Jisemee we mwenyewe tu wala usimwambie mtu asije kukucheka. Ukiingia chumbani, liaaaa baada ya siku mbili tatu utapona tu.
Kama rahisi vile, ila kutekeleza sasaKweli kama kuna kitu ngumu kuamini ni kidume kuachwa. Kwanza kabisa huwa unaachwa pindi mambo ndo yanakunyookeeni yaani mpo juu. Kipindi huoni wengine tena, ghafula anakuacha huko huko anachupa na kuangukia kwa mwengine juu kwa juu.
Kidume ukiangalia, huamini macho yako. Unamuona yuleeeeee na kamjamaa. Ushauri; Usijaribu kwenda pigania penzi lako. Atakuona fala sana. Atajiona very saana. Jifanye ka ulikufa macho siku ile alipoondoka. Jifanye ka hujapungukiwa. Ila, usiende kilabuni kupunguza wazo. Utaongeza wazo.
Jifanye ka alikufa na yule unayemuona ni mzuka wake tu. Sema ka yule sungura; "Kwanza libaaaya". Jisemee we mwenyewe tu wala usimwambie mtu asije kukucheka. Ukiingia chumbani, liaaaa baada ya siku mbili tatu utapona tu.
Wachaaa we!! Ni wapi huko niende huko? Kule kwetu maanake ni kukaripia kwa ukaliPamoja kiongoziMangatara kwa kule kwetu maana yake ni majanga.
Wachaaa we!! Ni wapi huko niende huko? Kule kwetu maanake ni kukaripia kwa ukali
Utapa mahaba mpaka usahau jibapaHahahahaha ili uniachishe pombe??
Naomba nipe mie..?Utapa mahaba mpaka usahau jibapa
Unaachaje jani sasa?Daaa umenikumbusha jani nina miaka kadhaa toka niache hiyo kitu...Kwanin umehisi nimetumia jani?
Utapa mahaba mpaka usahau jibapa
Ila nita recover soon[emoji41]Pampula naona umefikwa, njoo nikupooze machungu au kuwa kama MLEVi Mmoja.
Unaachaje jani sasa?
Kweli kabisa.Mpenzi wako ni safari, endelea naye tu.
Huko hata kwa rungu siendi. Njoo kwetu TarimeMoshi marangu
Kumbe ndio maana unalala bar[emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787]Yani hapa hata sielewi kabisa,hii tunaiita kupatwa kwa mapenzi Ila nita recover soon[emoji41]