macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,796
- 39,591
Kuna harufu ya ukweli:Huyo mpumbavu karudi tena humu? Ujinga wake apeleke fb huko.
1. ATC Wazalendo ilipoanza, kwa watu wanajua kusoma alama, inaonyesha kabisa kulikuwa na nguvu ya watu walioko serikalini wanaisaidia kifedha na kuiondolea vikwazo vya kidola. Bila shaka hii ilikuwa ni project ya Membe (akidhani ataupata urais) na JK akisawapa ushauri.
2. Zitto ni mbinafsi na mwanasiasa hatari sana. Hii inajionyesha tangu akiwa Chadema na sasa baada ya huo mkakati kufeli.