Ukilala na mke wa mtu unapata laana na Nuksi hata mipango yako mingi inafeli kabisa.Ukila Mke wa Mtu huku ukijua kabisa huyu ni Mke wa Mtu,kuna laana lazima uipate!!
Dawa ni kuachana na wake za watu, watu wamewekeza kwenye familia, ww wataka mtu asahau familia na watoto kisa uume wako.Huu nao ni aina fulani ya ufala. Utafikiri mke wake anabakwa. Wa kuanza naye hapa ni mke wake kwanza. Atapiga risasi wangapi? Anyway; haya mambo ni magumu sana !
Ingekuwa hivyo basi wanaume wengi mafanikio wangeyasikia tuUkilala na mke wa mtu unapata laana na Nuksi hata mipango yako mingi inafeli kabisa.
Mtume-MUHAMMAD (s.a.w) alisema siku ya kusimama hesabu yaan kiyam wale wote waliozini tupu za waliozini nao zitabandikwa juu ya uso wake ...Kuna dada mmoja tulikuwa tunafanya kazi pamoja ofisini, ni mstaraabu mno. Kwakuwa mimi tumezoeana sana akawa ananisimulia mambo yake mengi yakiwepo ya mahusiano.
Akawa ananieleza namna ambavyo mme wake anamcheat, mimi ndio nikawa mfariji na mshauri wake. Nje ya kazi, mara moja moja tulikuwa tunatoka na muda huo tayari shetani alikuwa amesema jambo na mimi [emoji23]
Siku isiyo na jina tulijikuta tupo kitandani tunafanya upembuzi yakinifu. Ulikuwa mchezo wetu mpaka pale alipohama ofisi
Ilikuaje siku ukamla mke wa mtu?
Note: Ukitaka kula mke wa mtu, usisahau kutembea na mafuta. Yatakusaidia, thanks me later.
Mkuu hii toba yake unatakiwa ukawaombe msamaha wamezao Kwanza wakikusamehe ndio urejee toba Kwa mungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie mwaka 2010 nilirudi uraiani baada ya miaka kadhaa ya miangaiko kwenye kona za dunia nikakuta mademu zangu wote wameshaolewa na wana watoto. Waliposikia nipo mjini ni kama vile mashetani yaliwapanda, kuna wawili walikuwa Ar nilikuwa nabadilisha tuu leo huyu kesho huyu, tena mbaya waume zao ndio waliwaambia wameniona mtaani wakaanza kujileta bila wao kujua. Nikaona imekuwa kero nikakimbilia Dar kuwakwepa ubaya nikakutana na wengine wawili mchezo ukarudi pale pale na mmoja wa Ar akawa anafunga safari kunifuata Dar.
Baadaye nilikuja kujiisi kwamba sio fair nikabadili namba ya simu nikawakatia mawasiliano na kufanya bonge la toba.
Utafirwa vibayaKuna demu wa mjeshi ananisumbua sana mara ananambia niende mumewe yupo kozi.Mara anipigie simu anaomba ushauri kwanini mumewe hamnunulii simu janja basi daah! Ameshajaa kwenye kilengeo ila nikiwaza kwenda kumtafuna nafsi inagoma.
Chanzo cha kumpata alikuwa ananisumbua akiomba namba zangu huko Fb.
Nishafanya yangu kitambo.[emoji1]Utafirwa vibaya
[emoji2][emoji2][emoji2]Mkuu hii toba yake unatakiwa ukawaombe msamaha wamezao Kwanza wakikusamehe ndio urejee toba Kwa mungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mambo gani yalitokea mkuuAlikuwa anakuja nae maskani tunapiga ulabu. Tukazoeana na shemela jamaa umri umekwenda kidogo. Nikazoeana na shemela hata kupanga namba. Shemeji akaomba nimtafutie kazi nikamwambia sawa.
Ilikuwa mwezi 8. Mzee akasafiri. Jioni moja shemeji anapiga simu nikapokea. Akaniambia mzee hayupo afu ana hamu ya bia.anataka nimpelekee home. Nikamwambia sawa. Baada ya muda akasema nichukue na konyagi kubwa ataenda kurudisha pesa. Ilikuwa kama saa 2 hivi nikapeleka. Ile naingia namkuta na kigauni kifupi toto limejaza vibaya. Pombe siyo chai tunaanza kuelewa. Mara shemela unachezwa na dushe. Kumgusa bamia la kutosha.nikamaliza shughuli. Ukawa mchezo wetu..... jamaa alikuja gundua yaliyotokea mabaya sana sitaki hata kukumbuka
alizibamba message nini?Alikuwa anakuja nae maskani tunapiga ulabu. Tukazoeana na shemela jamaa umri umekwenda kidogo. Nikazoeana na shemela hata kupanga namba. Shemeji akaomba nimtafutie kazi nikamwambia sawa.
Ilikuwa mwezi 8. Mzee akasafiri. Jioni moja shemeji anapiga simu nikapokea. Akaniambia mzee hayupo afu ana hamu ya bia.anataka nimpelekee home. Nikamwambia sawa. Baada ya muda akasema nichukue na konyagi kubwa ataenda kurudisha pesa. Ilikuwa kama saa 2 hivi nikapeleka. Ile naingia namkuta na kigauni kifupi toto limejaza vibaya. Pombe siyo chai tunaanza kuelewa. Mara shemela unachezwa na dushe. Kumgusa bamia la kutosha.nikamaliza shughuli. Ukawa mchezo wetu..... jamaa alikuja gundua yaliyotokea mabaya sana sitaki hata kukumbuka