Ilikuaje mpaka ukamla mke wa mtu?

Ilikuaje mpaka ukamla mke wa mtu?

Wew jichangaje uyo demu c anajishuhulisha na saloon na yupo dar katikati.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Name ID yako inataka kufanana sana na dawa nayotumia kwa ajili ya kutibu Typhoid hapa kasoro neno 1 tu limekosekana, nimeanza dose jana, ina bei kuliko dawa zingine za Typhoid..

Back to the topic, mwache jamaa ajichanganye kwa mke wa mjeda, Sidhani kama tutamuona tena humu JF forever.
 
Hamu naitolea wapi? najua fika flani ndio anakumega usiku na siku zote,Mimi hiyo hamu yakukutongoza naitolea wapi? na hiki kinyaa changu! bora nisijue nije nijue baada ya tendo ila nikijua kabla Huwa mission zote nilizokua nazo juu ya huyo mdada nazi cancel.
 
Name ID yako inataka kufanana sana na dawa nayotumia kwa ajili ya kutibu Typhoid hapa kasoro neno 1 tu limekosekana, nimeanza dose jana, ina bei kuliko dawa zingine za Typhoid..

Back to the topic, mwache jamaa ajichanganye kwa mke wa mjeda, Sidhani kama tutamuona tena humu JF forever.
Hiyo inatibu hadi gono
 
Back
Top Bottom