Mtu Chake
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 30,861
- 64,160
..Ni kawaida yetu watz kulaumu na kutoa lawama/shutuma//pindi itokeapo Ajari.....baada ajari ya juzi huko znz..na baada ya kupitia habari tofauti tofauti..kuwa Mv Spice kuwa ni ya zamai..yaani imechoka...
sasa nauliza kama hiyo Mv Spice ilikua ya zamani...vipi Ile Mv Liemba kule Kigoma? ziwa Tanganyika?
maana nayo Mv Liemba ni ya long time..toka enzi za mkoloni..je inafanyiwa ukarabati wakutosha?
Nawasilisha
sasa nauliza kama hiyo Mv Spice ilikua ya zamani...vipi Ile Mv Liemba kule Kigoma? ziwa Tanganyika?
maana nayo Mv Liemba ni ya long time..toka enzi za mkoloni..je inafanyiwa ukarabati wakutosha?
Nawasilisha