hahahahahaahah siita kaaa nisahau ilinitokea patamu nilikuwa na mke (ajaolewa lakini) wa mtu tuna kunywa liquors sasa ghafla jamaa akasepa town kwakuwa ananiamini mi nikaendelea pole pole kula vitu na demu wake ghafla mzuka ukaja nika mtania manzia kama nilivyo zoea nika mwambia tutoane ukame akaniuliza tu simple usije mwambia jamaa nikaona yes ndo chance akaniambia funga mlango akatoa dira akatoa na chup## na mimi nikatoa kila kitu, huwezi amili nilijitaidi kwa nguvu zote ila wapi nikahisi ni demu wangu kanifunga au jamaa yake nilitoka kapa siku hiyooo nikamuomba niizunguke nje kwanza labda kwa ajili ya surprise alionipa nimeenda shop narudi njiani namuona jamaa anapita na boda kwenda geto niliogopa sana sana nikajua atakuta demu nilivyo muacha thanx god alikuwa amevaa dera tena japo hakuvaa chupi. kesho yake asubuhi alinichomolea nakuniambia kuwa ilikuwa ni stimu tu. nikaona isiwe tabu nika mwambia ngojja niende dukani nikanunue makali ya kutoa hangover wakati niko getto nashtua akaja kuomba fly-pan akaonjaa kaona kali koz ajazoea mara kakaaaa mara nika mkumbushia bwana nilikula mzigo hadi akafurahi kuanzia hapo. jamaa akitoka tu lazima aje getto kila siku labda bleed tu au akiwa hana mud. alinipenda kwa vituko vyangu na heshima yangu kwa mpenzi wake na nilivyokuwa nacheka nao kwa furaha japo tunajuana mimi na mkewe. NA siku akinikuta na msichana huwa anakasirika sana kuliko kitu chochote kile.