Ili uweze kufanikiwa unahitaji

Ni kwel coz wengi wao wanakuyana na burungutu la pesa katika umri mbovu sana, so hata ile thinking capacity ya afanyeje, haipo tena. Wanaishia kutumia na kuishiwa tu.
Wenye bahati n wale wanaotumia na kufa chap
Ila wale akina methusela wanaoishi miaka ya kucheba obvious hukutana na kipondo cha maisha
Umeongelea uhalisia
 
Back
Top Bottom