mallik killume
Member
- Dec 18, 2017
- 40
- 10
- Thread starter
- #21
Umeongelea uhalisiaNi kwel coz wengi wao wanakuyana na burungutu la pesa katika umri mbovu sana, so hata ile thinking capacity ya afanyeje, haipo tena. Wanaishia kutumia na kuishiwa tu.
Wenye bahati n wale wanaotumia na kufa chap
Ila wale akina methusela wanaoishi miaka ya kucheba obvious hukutana na kipondo cha maisha