Ili ufanikiwe unahitaji kufeli

Elisha Chuma

JF-Expert Member
Jul 22, 2013
275
262
Sehemu kubwa ambayo bado kama taifa na mtu mmoja mmoja tunafeli sana ni kwenye eneo la ujenzi wa ufahamu kwa watoto na vijana,Asilimia kubwa ya fahamu zetu zimekariri ushindi sana kuliko hatua za ushindi.

Hii haiko kwenye biashara tu bali hata kwenye maisha yetu ya kawaida,mahusiano,uchumi na kila kitu.

Fahamu zimejengwa kila unachofanya tegemea kushinda tu,lakini pia hata washauri pia ama motivational speaker tumejikuta katika wimbi lile lile kuwaambia watu mbinu za ushindi tu lakini uhalisia wake ni kushindwa.

Hauwezi kujua kama umeshinda iwapo hujui kushindwa,hakuna safari isiyokuwa na vikwazo,ikikosa vikwazo inapunguza umuhimu wake,ndio hata maisha ni taratibu za kutatua changamoto siku baada ya siku na ukifanikiwa unaita ushindi na unapata furaha.

Mafanikio yanagharama yake na moja ya gharama ni vikwazo na kufeli ili upate thamani ya mafanikio halisi,hivyo katika kila unalolifanya tegemea kuna kufeli ama kufanikiwa hata kama ufahamu wako umeuelekeza kufaulu lakini jipange na ikitokea umefeli ili isikuvunje nguvu.

Leo hii wajasiriamali wengi wanafeli sokoni sababu walijiandaa kufaulu tu,ndoa nyingi zinavunjika sababu zilijiandaa furaha tu,mahusiano mengi hayadumu sababu yanataka raha tu.mikopo inakuwa shida marejesho sababu hakuna kujipanga na iwapo ikitokea nimekosa nitafanya nini, karibia kila kitu kinasababishwa na kutokujiandaa kwa matokeo hasi.

Badilisha mtazamo wako na fungua ufahamu wako,changamoto ndio ukuaji,changamoto unayoipata leo ndio itakayokuimarisha kesho.tatua na endelea jenga ufahamu vizuri kwa kizazi chako pia.

Ili ufanikiwe unahitaji kufeli ili uione gharama na hadhi ya kufikia mafanikio.

Elisha Chuma.

IMG_20191206_161950_902.jpeg
 
"WINNER is just a LOOSER who tried one more time"

japo kuna mda unaluzi mpaka sio poa yaan unagusa biashara hii, unapoteza laki 7 chap,unagusa ile unapoteza milion,unagusa nyingne unajikuta unazika mamilion daaah unakaaaa unatafakariiiii afu unajinyamazia anyway mwiko kukata tamma
 
Ule uwezo wa kunyanyuka baada ya kufeli, ndiyo mwanzo wa mafanikio.
Tatizo kubwa la kushindwa kunyanyuka ni mentality yako ina nguvu kiasi gani na uwezo wa kuchambua na kutafuta chanzo kwanini umeanguka wengi tukianguka haturudi kwenye liliotuangusha tunaliacha tunatafuta jipya wakati lililokufanya ukaanguka limekufunza,unaenda kwenye jipya nalo linakuangusha unaacha mwisho wa siku muda na nguvu havikusubiri...unalaumu kila kitu na kusema kwako havifanikiwi.
 
@King999,Hapo kwenye kugusa na kubadilisha ndio shida ilipo ukigusa ukapoteza unakaa chini unaangalia kwanini nimepoteza na nnaweza vipi kufanya upya bila kupoteza,na tatizo kubwa fahamu zetu zinaamini mtaji ni pesa hvy ukipoteza lazima pesa inakuwa na kiwango kikubwa.ila tukijifunza kubadilisha mentality na matendo yetu mambo yangekuwa tofauti.
 
Mahala Fulani, niliona kauli mbiu iliyoandikwa kwenye ofisi ya utafutaji ya muungwana mmoja maneno haya, MARUFUKU KUKATA TAMAA.
 
Kufanikiwa ni kutatua changamoto au kusolve tatizo linalokusibu. Na ili ujue tatizo, anza kwanza then ukikosea unalirekebisha. HAPO NDO UMESHAFANIKIWA!

Kwa mantiki hyo, NAUNGA MKONO HOJA!
Tunahitaji sana kubadilisha fahamu za vizazi vyetu ili kutengeneza uchumi tunaoufikiria...wengi wanafeli sio kwa kukosa uwezo ila ufahamu mdogo na dhana zenye mihemuko
 
Thts a very big mistake!.ukishaweza kusimamia jambo moja ukianguka hata mara7siku ukinyanyuka umenyanyuka
Wengi wakianguka wanaacha kwa sababu hawakuwahi hata kujipima kwa jambo hilo tunafanya biashara za kujaribu kama italipa ndio maana ikikupa changamoto unaikimbia japo kuna wengine uliowaona ukawatamani wanafanya hiyo hiyo na maisha yanaendelea.
 
Mwanzo nilikua nikijipa tamaa sana ndio maana kila ninapofeli maumivu huwa makali sana ila sasa kila ninachofanya naeka kufeli coz nimeshafeli sana ila nakua sikati tamaa, iko day nitafika malengo
 
Sehemu kubwa ambayo bado kama taifa na mtu mmoja mmoja tunafeli sana ni kwenye eneo la ujenzi wa ufahamu kwa watoto na vijana,Asilimia kubwa ya fahamu zetu zimekariri ushindi sana kuliko hatua za ushindi.

Hii haiko kwenye biashara tu bali hata kwenye maisha yetu ya kawaida,mahusiano,uchumi na kila kitu.

Fahamu zimejengwa kila unachofanya tegemea kushinda tu,lakini pia hata washauri pia ama motivational speaker tumejikuta katika wimbi lile lile kuwaambia watu mbinu za ushindi tu lakini uhalisia wake ni kushindwa.

Hauwezi kujua kama umeshinda iwapo hujui kushindwa,hakuna safari isiyokuwa na vikwazo,ikikosa vikwazo inapunguza umuhimu wake,ndio hata maisha ni taratibu za kutatua changamoto siku baada ya siku na ukifanikiwa unaita ushindi na unapata furaha.

Mafanikio yanagharama yake na moja ya gharama ni vikwazo na kufeli ili upate thamani ya mafanikio halisi,hivyo katika kila unalolifanya tegemea kuna kufeli ama kufanikiwa hata kama ufahamu wako umeuelekeza kufaulu lakini jipange na ikitokea umefeli ili isikuvunje nguvu.

Leo hii wajasiriamali wengi wanafeli sokoni sababu walijiandaa kufaulu tu,ndoa nyingi zinavunjika sababu zilijiandaa furaha tu,mahusiano mengi hayadumu sababu yanataka raha tu.mikopo inakuwa shida marejesho sababu hakuna kujipanga na iwapo ikitokea nimekosa nitafanya nini, karibia kila kitu kinasababishwa na kutokujiandaa kwa matokeo hasi.

Badilisha mtazamo wako na fungua ufahamu wako,changamoto ndio ukuaji,changamoto unayoipata leo ndio itakayokuimarisha kesho.tatua na endelea jenga ufahamu vizuri kwa kizazi chako pia.

Ili ufanikiwe unahitaji kufeli ili uione gharama na hadhi ya kufikia mafanikio.

Elisha Chuma.

View attachment 1283694
Food for thought
 
"WINNER is just a LOOSER who tried one more time"

japo kuna mda unaluzi mpaka sio poa yaan unagusa biashara hii, unapoteza laki 7 chap,unagusa ile unapoteza milion,unagusa nyingne unajikuta unazika mamilion daaah unakaaaa unatafakariiiii afu unajinyamazia anyway mwiko kukata tamma
Loser sio looser
 
Sehemu kubwa ambayo bado kama taifa na mtu mmoja mmoja tunafeli sana ni kwenye eneo la ujenzi wa ufahamu kwa watoto na vijana,Asilimia kubwa ya fahamu zetu zimekariri ushindi sana kuliko hatua za ushindi.

Hii haiko kwenye biashara tu bali hata kwenye maisha yetu ya kawaida,mahusiano,uchumi na kila kitu.

Fahamu zimejengwa kila unachofanya tegemea kushinda tu,lakini pia hata washauri pia ama motivational speaker tumejikuta katika wimbi lile lile kuwaambia watu mbinu za ushindi tu lakini uhalisia wake ni kushindwa.

Hauwezi kujua kama umeshinda iwapo hujui kushindwa,hakuna safari isiyokuwa na vikwazo,ikikosa vikwazo inapunguza umuhimu wake,ndio hata maisha ni taratibu za kutatua changamoto siku baada ya siku na ukifanikiwa unaita ushindi na unapata furaha.

Mafanikio yanagharama yake na moja ya gharama ni vikwazo na kufeli ili upate thamani ya mafanikio halisi,hivyo katika kila unalolifanya tegemea kuna kufeli ama kufanikiwa hata kama ufahamu wako umeuelekeza kufaulu lakini jipange na ikitokea umefeli ili isikuvunje nguvu.

Leo hii wajasiriamali wengi wanafeli sokoni sababu walijiandaa kufaulu tu,ndoa nyingi zinavunjika sababu zilijiandaa furaha tu,mahusiano mengi hayadumu sababu yanataka raha tu.mikopo inakuwa shida marejesho sababu hakuna kujipanga na iwapo ikitokea nimekosa nitafanya nini, karibia kila kitu kinasababishwa na kutokujiandaa kwa matokeo hasi.

Badilisha mtazamo wako na fungua ufahamu wako,changamoto ndio ukuaji,changamoto unayoipata leo ndio itakayokuimarisha kesho.tatua na endelea jenga ufahamu vizuri kwa kizazi chako pia.

Ili ufanikiwe unahitaji kufeli ili uione gharama na hadhi ya kufikia mafanikio.

Elisha Chuma.

View attachment 1283694
Shukrani kwa mada bomba sana mkuu E. C.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom