Niko job of sin kuna Mfanyakazi mwenzangu kaja na fomu ya mkopo wa bank nilipojaribu kuisoma kujua mashariti Tao nimegundua kipengele cha dhumuni la mkopo ikanibidi ma Mimi nivae viatu vya muhusika nikafikiria mambo matatu ya kuanza nayo maishani napenda sana kuwa na gari pia napenda kuwa na familia yaani mke na watoto tatu napenda kuwa na kwangu yaani nyumba yangu haya yote yanahitaji maandalizi yaani pesa njia panda yangu ni kwamba kipi kikianza kitanipa urahisi wa kupata mawili yaliobaki nikianza na mke nitapata gari na Nyumba maana matumizi yataongezeka au nikianza ujenzi nitakaa muda bila kuoa naomba ushauri kipi nianze nacho.