pumbavu unatishia nn si uleteUnataka nilete video jins Sisiem wanavyonyanyaswa...Acha chuki mbona hujaweka picha ya wafuas wa chadema wanavyofanya fujo...maana wengi ni wavuta bangi wakaa vijiweni na wavivu
Picha hizi zaweza kutoa mwanga wa utofauti wa wakereketwa wa CCM na Wafuasi wa Chadema.
Hapo ndio waweza kujua maana ya usemi "kuna watu na viatu"View attachment 1234185View attachment 1234186
Huyo alovaa barakashia ni naniPicha hizi zaweza kutoa mwanga wa utofauti wa wakereketwa wa CCM na Wafuasi wa Chadema.
Hapo ndio waweza kujua maana ya usemi "kuna watu na viatu"View attachment 1234185View attachment 1234186
Ukiweka hiyo video utasaidia zaidi kuelewa tumeangukia wapi?Unataka nilete video jinsi Sisiem wanavyonyanyaswa...Acha chuki mbona hujaweka picha ya wafuasi wa CHADEMA wanavyofanya fujo...maana wengi ni wavuta bangi wakaa vijiweni na wavivu
Huyo Mtu wa CCM aliyebeba ' Kitofa ' cha maana katika Picha ya Kwanza hapo juu ana Vigezo vyote vya kuwa Mtu Katili, Gaidi na mwenye Roho Mbaya kuliko Watanzania wote. Kama ana Mke basi ninamuonea mno Huruma huyo Shemeji yangu kwani hapo hana Mume bali ana Mume Bedui kabisa. Na inavyoonekana hapo Pichani kwa hizo Mbio anazotoka nazo huku ' akitambaa ' vizuri na hiyo Kona anayokata hapo angempata huyo Mlengwa wake basi angemuua kabisa.
huyo jamaa alipona kweli??? hahahaa... nacheka tu lakini ni hatari.Picha hizi zaweza kutoa mwanga wa utofauti wa wakereketwa wa CCM na Wafuasi wa Chadema.
Hapo ndio waweza kujua maana ya usemi "kuna watu na viatu"View attachment 1234185View attachment 1234186
Mzee unamuonea huruma mke wa huyo mzee!! mie nadhani ungempongeza mke wa stone tangawizi anawezaje kuishi na kiumbe yule. Au huyu mzee mwenye kibalaghashia hapo lazima atakuwa anakula watu sijui mkewe ananusurikajeHuyo Mtu wa CCM aliyebeba ' Kitofa ' cha maana katika Picha ya Kwanza hapo juu ana Vigezo vyote vya kuwa Mtu Katili, Gaidi na mwenye Roho Mbaya kuliko Watanzania wote. Kama ana Mke basi ninamuonea mno Huruma huyo Shemeji yangu kwani hapo hana Mume bali ana Mume Bedui kabisa. Na inavyoonekana hapo Pichani kwa hizo Mbio anazotoka nazo huku ' akitambaa ' vizuri na hiyo Kona anayokata hapo angempata huyo Mlengwa wake basi angemuua kabisa.
Picha ya Juu ‘Mdudu’ akiondolewa asihatarishe Maisha ya Wapenda Amani
Kuna Mzalendo kulia kabisa ana kipande cha Tofali hahahaha
Jamaa Sio mtu mzuri kabisaNa mzalendo huyo spidi anayokuja nayo, atawaovateki wote waliomtangulia.