neurosurgeon
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 376
- 355
Mh hiyo profile mbona kama ya Dr JesseMajuzi nilikuja na uzi huu
Ndoa Inavunjika Hiyo!
Waungwana, Bazazi kasimuliwa na mdau wake jinsi ndoa yake inavyoyumba. Kafumania simu ya mke ikiwa na sms za wasap na za kawaida. Anawasiliana na mpenzi wake wa pili baada ya kiwambo kuondolewa. Ni sms za mahaba hasa tena mazito. Mume kambana mkewe, mke hafunguki. Ana ahidi atavunja mawasiliano...www.jamiiforums.com
Ile ndoa ni kama imekwisha kwani wametengana (ndoa ya Kikristo). Hiyo ni kutokana na mume kuona haina haja ya kwenda mahakamani kwani ni kujidhalilisha tu. Ukweli ni kujidhalilisha maana kuna msemo wa kizungu unadai "YOU HAVE FAILES AS A MAN, IF ANOTHER MAN MAKES YOUR WOMAN HAPPY!." Mvurugano umetokea tarehe 26/09/2019 ambapo mume alimuita Baba Mkwe na kumuonesha ushahidi hasa wa walivyokuwa wakipigiana simu hata baada ya mume kungundua ambapo wakati mwingine walikuwa wakiongea akiwepo (hajui walichokuwa wakiongea).
Aliyesambaratisha ndoa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria na Idara ya Sheria za Uchumi. Mhadhiri ana shahada 4 za sheria ambazo ni
1. LLB ya UDSM
2. LLM ya UDSM
3. LLM ya Notre Dame
4. PhD ya UDSM
Mhadhiri ni Mpare akiwa kakulia Arusha ktk kijiji cha Lerai - Arumeru ambako nduguze bado wanaishi.
Mume anawatakia maisha mema iwapo wataendeleza uhusiano wa kimapenzi.
Bazazi!
Huku kuna umbea kiwango Cha lami
Yaaani😁😁Huku kuna umbea kiwango Cha lami
Mchepuko unafuatiiliwa hadi kifoYaaani[emoji16][emoji16]
Sio misanya kweli?Mh hiyo profile mbona kama ya Dr Jesse
Huyo ni Dr Jesse Yuko school of law misanya alishakufaSio misanya kweli?
Wamesema nae kafa soma huko juu mkuuHuyo ni Dr Jesse Yuko school of law misanya alishakufa
Ndo Nani jomoni?Nimeona aisee. A R.I.P
Ni kafa?Wamesema nae kafa soma huko juu mkuu
Oh nimeona kumbe Dr James Jesse amefariki, kwa hiyo CV ndio yake hiyoWamesema nae kafa soma huko juu mkuu
MaskiniOh nimeona kumbe Dr James Jesse amefariki, kwa hiyo CV ndio yake hiyo
☝️Tatizo wanaume wanajua wanawake wanatetemekea Sana ndoa..
Ndio maana mwanaume akioa tu anaanza kuchepuka bila woga na mke akilalamika anaambiwa atulie kwa kuwa ameshaolewa ana shida gani
Mnabadilisha Sana I'd mnatuchanganya
Huyo jamaa angeenda kupata ushauri kwa mwanasheria....siku moja isiyo na jina huyo mke atarudi tu..na kwa vile hakuna divorce or separation decree...basi bado ni mke halali.Kama haijavunjwa na mahakama huyo bado mkewe
Kama haijavunjwa na mahakama huyo bado mkewe with due consequences. Hata baada ya miaka ishirini akifa mkewe huyo atarithi mali zote zikiwemo zile alizochuma baada ya kutengana.
Hata huyo dr jesse kashafarikiHuyo ni Dr Jesse Yuko school of law misanya alishakufa
Dr wa school of law udsm yadaiwa alivunja ndoa ya jamaa aliyeleta Uzi humuNdo Nani jomoni?
Naona mume wa huyo dada kafurahia alikoOh nimeona kumbe Dr James Jesse amefariki, kwa hiyo CV ndio yake hiyo