Ile Drama imeisha. Kuachiliwa hivi karibuni

Ile Drama imeisha. Kuachiliwa hivi karibuni

Program Manager

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
3,082
Reaction score
4,472
Hivi Sasa inaarifiwa kuwa ile drama ya "shujaa" inaelekea mwishoni na baadhi ya waigizaji wakuu kwenye hiyo drama wameona isiwe "kesi" kwani watazamaji hawapendi hizo series,ni kama vile kupotezeana muda tu.

Director ashapewa maelekezo na wachora script kwamba asiendelee kuongoza mchezo Ili jambo liishe.
Na hatimaye onesho lijalo huwenda likawa la mwisho, akapita katikati Yao akaenda zake .
 
Hivi Sasa inaarifiwa kuwa ile drama ya "shujaa" inaelekea mwishoni na baadhi ya waigizaji wakuu kwenye hiyo drama wameona isiwe "kesi" kwani watazamaji hawapendi hizo series,ni kama vile kupotezeana muda tu.

Director ashapewa maelekezo na wachora script kwamba asiendelee kuongoza mchezo Ili jambo liishe.
Na hatimaye onesho lijalo huwenda likawa la mwisho, akapita katikati Yao akaenda zake .
Muda ni ukuta, ukipigana nao utaumia mwenyewe
 
Tetetetehhh ogopa SANA mitandao HII ni sehemu AMBAYO kiongozi UNAWEZA tukanwa na dereva WAKO hahaha. Utashangaa WATU wanakuchapa MANENO TU MPAKA ukaanza ONGEA PEKE yako
Na kuchanganyikiwa kabisa. Alafu ubaya wa mitandao wanaokujua mpaka mabaya yako wanaweza kukuumbua sana maana wanaweza weka ushahidi kamili
 
Hivi Sasa inaarifiwa kuwa ile drama ya "shujaa" inaelekea mwishoni na baadhi ya waigizaji wakuu kwenye hiyo drama wameona isiwe "kesi" kwani watazamaji hawapendi hizo series,ni kama vile kupotezeana muda tu.

Director ashapewa maelekezo na wachora script kwamba asiendelee kuongoza mchezo Ili jambo liishe.
Na hatimaye onesho lijalo huwenda likawa la mwisho, akapita katikati Yao akaenda zake .
Nitafurahi sana!
 
Hivi Sasa inaarifiwa kuwa ile drama ya "shujaa" inaelekea mwishoni na baadhi ya waigizaji wakuu kwenye hiyo drama wameona isiwe "kesi" kwani watazamaji hawapendi hizo series,ni kama vile kupotezeana muda tu.

Director ashapewa maelekezo na wachora script kwamba asiendelee kuongoza mchezo Ili jambo liishe.
Na hatimaye onesho lijalo huwenda likawa la mwisho, akapita katikati Yao akaenda zake .
Mama Samia Na Jakaya kikwete Forever!

Join the movement NOW!
 
Hivi Sasa inaarifiwa kuwa ile drama ya "shujaa" inaelekea mwishoni na baadhi ya waigizaji wakuu kwenye hiyo drama wameona isiwe "kesi" kwani watazamaji hawapendi hizo series,ni kama vile kupotezeana muda tu.

Director ashapewa maelekezo na wachora script kwamba asiendelee kuongoza mchezo Ili jambo liishe.
Na hatimaye onesho lijalo huwenda likawa la mwisho, akapita katikati Yao akaenda zake .
Ponsio Pilato Kasema
" Sioni hatia juu ya mtu huyu, la ikiwa mtamhukumu damu yake itakuwa juu ya mikono yenu na watoto wenu

Basi ilikuwa yapata saa nane kamili, Pilato akanawa mikono akaenda zake.
 
Back
Top Bottom