Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,219
- 79,507
Ni kiji-swali tu vp kuhusu ule mradi wa barabara kuunganisha barabara ya Yanga na Kigogo, ningependa kujua kama imesalimika na kama imezombwa na maji tujiulize uhandisi wetu unatupeleka wapi? na nani anapaswa kuwajibika na hasara itokanayo na kampuni isiyo na stadi kujenga barabara iliyosombwa na maji!