ILANI:ukiswali huu msikiti uwe na pesa!

ILANI:ukiswali huu msikiti uwe na pesa!

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,312
Je upo wapi?
 

Attachments

  • 1430111763804.jpg
    1430111763804.jpg
    18.7 KB · Views: 1,682
Buku tano? Hahahaha mkwara mwingine bhana. Sometimes viongozi wa dini wanatakiwa wawe strict namna hii, inapendeza sana, hebu imagine ndio unafunga swala halafu simu inaita, Yesu nibebe, nibeebe, nibembelezeee......unaharibu swala nzima
 
Buku tano? Hahahaha mkwara mwingine bhana. Sometimes viongozi wa dini wanatakiwa wawe strict namna hii, inapendeza sana, hebu imagine ndio unafunga swala halafu simu inaita, Yesu nibebe, nibeebe, nibembelezeee......unaharibu swala nzima

Ha ha haaaaaa.
 
Buku tano? Hahahaha mkwara mwingine bhana. Sometimes viongozi wa dini wanatakiwa wawe strict namna hii, inapendeza sana, hebu imagine ndio unafunga swala halafu simu inaita, Yesu nibebe, nibeebe, nibembelezeee......unaharibu swala nzima

Na hivyo tunavyowekewa milio hata tusiyoichagua!!!
 
Mwaka jana watu wako kwenye swalaa, simu ya jamaa mmoja ikaita ina wimbo wa Rose Mhango unaosema "NIBEBE, NIBEBE BWANA YESU NIBEMBELEZE". ilikuwa ni kashikashi ndani ya msikiti.
 
Buku tano? Hahahaha mkwara mwingine bhana. Sometimes viongozi wa dini wanatakiwa wawe strict namna hii, inapendeza sana, hebu imagine ndio unafunga swala halafu simu inaita, Yesu nibebe, nibeebe, nibembelezeee......unaharibu swala nzima

hapo lazima ule makofi ya kutoshsa kabisa
 
Buku tano? Hahahaha mkwara mwingine bhana. Sometimes viongozi wa dini wanatakiwa wawe strict namna hii, inapendeza sana, hebu imagine ndio unafunga swala halafu simu inaita, Yesu nibebe, nibeebe, nibembelezeee......unaharibu swala nzima

swala ikiisha hapo lazima uchezee bakora, all in all wemeonesha msisitizo tu au umuhimu wa kuzuia milio kipindi cha swala.
 
Buku tano? Hahahaha mkwara mwingine bhana. Sometimes viongozi wa dini wanatakiwa wawe strict namna hii, inapendeza sana, hebu imagine ndio unafunga swala halafu simu inaita, Yesu nibebe, nibeebe, nibembelezeee......unaharibu swala nzima

Hawa waumini wanaogopa faini kuliko wanavyomuogopa Mungu wao. Huu pia ni muujiza.
 
Safi sana,uislam hauna ubabaishaji unapewa makavu live
 
Hawa waumini wanaogopa faini kuliko wanavyomuogopa Mungu wao. Huu pia ni muujiza.

hapana kwasababu binadamu ana sifa ya kusahau, hivyo wakati mwingine anakumbushwa kwa mtindo huo.
 
Hahahaha sheria/taratibu nyingine ni very fan.
 
Very good viongoz..ww kusal dk 5 tu ..why usizime sim..
 
Safi sana kuna watu wakaidi sana linapokuja suala la kuzima simu zao na hata Imam awakumbushe kabla ya sala zimeni simu zenu, cha ajabu mko katikati ya sala simu inaita.

Cha ajabu hao hao wanaokuwa wakaidi kuzima simu zao wanapokuwa mahakamani/benki au mahala pengine wanatii sana kuzima simu zao
 
Buku tano? Hahahaha mkwara mwingine bhana. Sometimes viongozi wa dini wanatakiwa wawe strict namna hii, inapendeza sana, hebu imagine ndio unafunga swala halafu simu inaita, Yesu nibebe, nibeebe, nibembelezeee......unaharibu swala nzima

You made my day duuuuuh sipati picha itakyaje
 
Buku tano? Hahahaha mkwara mwingine bhana. Sometimes viongozi wa dini wanatakiwa wawe strict namna hii, inapendeza sana, hebu imagine ndio unafunga swala halafu simu inaita, Yesu nibebe, nibeebe, nibembelezeee......unaharibu swpala nzima

You made my day duuuuuh sipati picha itakuaje
 
Back
Top Bottom