Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,642
- 2,760
Huo ni ukweli sio uongo Peter kafanya yakeTafadhali haimaanishi kudharau,au kashfa yoyote kwa Mama yetu mpendwa,kwanza yeye ana ngozi ngumu,Embu pitia comments za anaowaongoza na anachowapigania wanavyofikiri,ufurahie siku yako..