Ila maisha

that manzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
386
Reaction score
1,247
Habari zenu wakuu,

Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama[emoji28][emoji28]

zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu [emoji1316][emoji1316]

Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia[emoji28] na siku inaisha hivyo aisee.
 
Ndio maana,ukiwa na chochote, ukiombwa kunjua mkono. Jiulize mtu anaepanga,kazi au mishe za kumuingizia zimegoma, bili anazoshea na watu zinakuja hana chochote; hapo jiko haliwaki au mama ntilie hawaonani. Badae unapita mtaani unakuta watu wamemwaga chakula aise.
Au mwenye nyumba, ni ya urithi, haelewi.
Yaone tu hivi,mwenye nacho kesho analia,asie na chochote,kesho kabalikiwa.
Bahati mbaya wapo wengine wakiwa na chochote wanajiona hawashikiki; wengine unakuta wamepitia changamoto nyingi za hivo,na wanasahau. Mtu,kama una la kumsaidia,saidia. Kama kuna mchongo unaujua,muunganishe nae akasukume gurudumu la maisha.
Kwa anaeelewa kwa nini yamelinganishwa nangurudumu,ataelewa.
 
Huenda yupo kama mimi😅

Sio kila rafiki ana moyo wa kusaidia Joannah. Na sio kila mtu anaweza kumwambia mtu shida zake wengine watakudhihaki.
In life,unatakiwa kuwa na rafiki Mmoja anayeweza kubeba shida zako,,huyo rafiki anaweza kuwa mmeshare blood labda sister au cousin lakini pia inawezekana akawa rafiki tu wa kawaida...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…